Simba SC Yagonga Mwamba Kesi ya Camara

Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya TFF imetupa shauri lililowasilishwa na Simba SC kuhusu uhalali wa usajili wa mchezaji Mohamed Damaro Camara. Kwa mujibu wa uamuzi huo, kamati hiyo imeona kuwa hoja zilizowasilishwa hazina uzito wa kisheria au ushahidi wa kutosha kuweza kuthibitisha madai yaliyokuwa yakitolewa na klabu hiyo. Shauri hilo lilikuwa likihusu…

Read More

Nado aandika rekodi yake kwenye kiporo

IDD Seleman Nado nyota wa Azam FC amenadika rekodi yake kwenye mchezo wa kiporo dhidi ya Singid Black Stars kwa kukoleza moto uliofanya kiporo kisichache. Kiungo huyo alihusika kwenye magoli yote mawili yaliyofungwa na timu hiyo ambayo ipo nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi msimu wa 2025/26 baada ya kucheza jumla ya mechi 16…

Read More