Makonda Amtaka Msajili Kukamilisha Mchakato wa Mabadiliko Simba

Paul Makonda, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, amemtaka Msajili wa Vyama vya Michezo nchini, Abel Ngilangwa, kuipa majibu Simba Sports Club kuhusu kinachoendelea katika mchakato wa mabadiliko ya mfumo wa uendeshaji wa klabu hiyo. Agizo la Kukamilisha Ndani ya Mwezi Akizungumza, Waziri Makonda amesema msajili anatakiwa kuhakikisha kuwa kabla ya mwezi huu kumalizika,…

Read More