Skip to content
Tuesday, July 28, 2026
  • Mzize, Shalulile, Toure, Mwijage na Okello: Yanga Yaonyesha Silaha Mpya za Msimu
  • Arafat Haji Awatuliza Wananchi Kuhusu Ujenzi wa Uwanja wa Yanga Jangwani
  • Fahamu Safari ya Peter Shalulile wa Yanga Kutoka Namibia na Mamelodi
  • LeBron James Atikisa NBA, Philadelphia 76ers Wathibitisha Kusajili

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Mzize, Shalulile, Toure, Mwijage na Okello: Yanga Yaonyesha Silaha Mpya za Msimu
  • Arafat Haji Awatuliza Wananchi Kuhusu Ujenzi wa Uwanja wa Yanga Jangwani
  • Fahamu Safari ya Peter Shalulile wa Yanga Kutoka Namibia na Mamelodi
  • LeBron James Atikisa NBA, Philadelphia 76ers Wathibitisha Kusajili

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2026
  • January
  • 21

January 21, 2026

  • International
  • Sports

Aziz Ki Aondoka Wydad AC, Ajiunga Al Ittihad ya Libya

Saleh6 months ago01 mins

Kiungo mahiri Stéphane Aziz Ki amejiunga rasmi na Al Ittihad ya Libya akitokea Wydad Athletic Club ya Morocco, baada ya klabu hiyo ya Libya kufanikisha dili kubwa la uhamisho. Kwa mujibu wa taarifa zilizothibitishwa, Al Ittihad imelipa ada nono ili kunasa saini ya nyota huyo, jambo linaloashiria dhamira ya klabu hiyo kuimarisha kikosi chake kwa…

Read More
  • Sports

Usiku wa Moto Barani Ulaya: Juventus, Barca na Bayern Kazini

Saleh6 months ago02 mins

Usiku wa Ulaya huu hapa umefika huku wakali wa ubashiri Tanzania wao wamekuja na habari njema kabisa za wewe kuondoka na utajiri wako. Suka jamvi lako la ushindi na wakali hawa wa ubashiri sasa. Juventus uso kwa uso dhidi ya Benfica kutoka kule Ureno ambao kwenye mechi 6 walizocheza hadi sasa wameshinda 2 halikadhalika Bibi…

Read More
  • Sports

Kindege Cha Aviator Kuja Na Zawadi Ya Simu Mpya Samsung A26

Saleh6 months ago6 months ago02 mins

Katika ulimwengu unaobadilika kwa kasi wa michezo ya kubashiri mtandaoni, Meridianbet imeendelea kuwa mstari wa mbele kwa kuleta ubunifu unaogusa maisha ya wachezaji wake moja kwa moja. Kupitia promosheni maalum ya mchezo wa Aviator, wachezaji sasa wanapewa fursa ya kipekee ya kushinda Samsung Galaxy A26, simu ya kisasa, muonekano wa kuvutia na utendaji wa uhakika….

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.