Skip to content
Saturday, February 14, 2026
  • Sundowns Wapeleka Salamu Nzito kwa Wapinzani, Yatinga Robo
  • Tottenham Yamteua Igor Tudor Kuwa Kocha Mkuu Mpya
  • Ligi Kubwa Zatikisa: Presha Juu ya Timu Zinazofukuzia Ubingwa, ODDS Kali
  • Meridianbet Yaungana na TAB Kuwainua Watu Wenye Ulemavu

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Sundowns Wapeleka Salamu Nzito kwa Wapinzani, Yatinga Robo
  • Tottenham Yamteua Igor Tudor Kuwa Kocha Mkuu Mpya
  • Ligi Kubwa Zatikisa: Presha Juu ya Timu Zinazofukuzia Ubingwa, ODDS Kali
  • Meridianbet Yaungana na TAB Kuwainua Watu Wenye Ulemavu

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2025
  • December
  • 20

December 20, 2025

  • Sports

Makamu Mwenyekiti Asema Ukweli Kuhusu Mgogoro wa Klabu na Mwekezaji

Saleh2 months ago01 mins

Makamu Mwenyekiti wa Bodi na Mwenyekiti wa Klabu, Murtaza Mangungu, ametoa ufafanuzi kuhusu taarifa zinazozunguka mgogoro kati ya klabu na mwekezaji. “Mimi na mwenyekiti wa bodi tunaongea kila mara. Kama ni Mo, mimi mara ya mwisho niliongea naye jana saa 8. Sisi hatuna jambo la siri, timu inafanya mipango yake, kama kuna taarifa inatoka, inatoka…

Read More
  • International
  • Sports

Mechi Zenye Msisimko – Hii Wikiendi Usikose Ibuka Bingwa na Meridianbet Leo

Saleh2 months ago03 mins

Je unaweza ukabadilisha maisha yako kwa kubashiri mechi za EUROPA ndani ya Meridianbet leo?. Ni rahisi sana ingia kwenye akaunti yako na uweke dau lako ambalo unalipenda ili utimize ndoto zako leo. Kule Ujerumani, BUNDESLIGA itaendelea ambapo FC Cologne ataumana dhidi ya Union Berlin ambapo tofauti ya pointi kati yao hadi sasa ni 1 pekee….

Read More
  • Sports

Magori Afunguka: Simba Haijayumba Kama Inavyosemwa, Kelele Zinakuzwa

Saleh2 months ago02 mins

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu ya Simba SC, Crescentius Magori, amevunja ukimya na kueleza sababu zilizochangia kuyumba kwa kiwango cha timu katika baadhi ya michezo ya hivi karibuni, akisisitiza kuwa hali halisi haiko mbaya kama inavyotafsiriwa na baadhi ya wadau wa soka. Akizungumza kuhusu changamoto za kiufundi, Magori amesema mabadiliko ya benchi la…

Read More
  • Sports
  • Uncategorized

AFCON 2025 Morocco: CAF Yatangaza Mamilioni kwa Bingwa na Washindi Wengine

Saleh2 months ago01 mins

Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF), limezindua muundo wa zawadi kwa ajili ya Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika ya AFCON 2025, yanayotarajiwa kuanza hivi karibuni nchini Morocco. Kulingana na uchanganuzi Bingwa atapata Dola za Kimarekani Milioni 7 (Shilingi Bilioni 17.3 za Tanzania) huku Mshindi wa pili akipata Dola Milioni 4 (Shilingi Bilioni 9.96…

Read More
  • International
  • Sports

Simba Yamteua Steve Barker Kuwa Kocha Mkuu Mpya

Saleh2 months ago02 mins

Klabu ya Simba SC imethibitisha rasmi kumteua Steve Barker kuwa kocha mkuu mpya wa kikosi hicho, akichukua nafasi ya Meneja Dimitar Pantev ambaye ameondolewa katika majukumu yake. Barker ni raia wa Afrika Kusini mwenye uzoefu mkubwa wa soka la Afrika, na jina lake halikuwa geni kwa mashabiki wa Simba SC. Kocha huyo aliwahi kukutana na…

Read More
  • Entertainment

Bahati Yakutana na Teknolojia, Ni Halloween Ndani ya Meridianbet

Saleh2 months ago2 months ago02 mins

Msimu wa Halloween umeingia na upepo wa utajiri umeanza kusogea, na safari hii, Meridianbet wameamua kufungua mlango wa kipekee kupitia Gates of Halloween, mchezo mpya wa sloti uliojaa mvuto wa siri na bahati inayong’ara. Ni mchezo unaokupeleka kwenye ulimwengu ambapo kila ishara ina maana, na kila mzunguko unaweza kubadilika kuwa tukio kubwa. Ndani ya mchezo…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.