Skip to content
December 20, 2025
  • Magori Afunguka: Simba Haijayumba Kama Inavyosemwa, Kelele Zinakuzwa
  • AFCON 2025 Morocco: CAF Yatangaza Mamilioni kwa Bingwa na Washindi Wengine
  • Simba Yamteua Steve Barker Kuwa Kocha Mkuu Mpya
  • Marioo – OLUWA (Official Music Video)

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2025
  • December
  • 20

December 20, 2025

  • Sports

Magori Afunguka: Simba Haijayumba Kama Inavyosemwa, Kelele Zinakuzwa

Saleh23 minutes ago02 mins

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu ya Simba SC, Crescentius Magori, amevunja ukimya na kueleza sababu zilizochangia kuyumba kwa kiwango cha timu katika baadhi ya michezo ya hivi karibuni, akisisitiza kuwa hali halisi haiko mbaya kama inavyotafsiriwa na baadhi ya wadau wa soka. Akizungumza kuhusu changamoto za kiufundi, Magori amesema mabadiliko ya benchi la…

Read More
  • Sports
  • Uncategorized

AFCON 2025 Morocco: CAF Yatangaza Mamilioni kwa Bingwa na Washindi Wengine

Saleh46 minutes ago01 mins

Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF), limezindua muundo wa zawadi kwa ajili ya Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika ya AFCON 2025, yanayotarajiwa kuanza hivi karibuni nchini Morocco. Kulingana na uchanganuzi Bingwa atapata Dola za Kimarekani Milioni 7 (Shilingi Bilioni 17.3 za Tanzania) huku Mshindi wa pili akipata Dola Milioni 4 (Shilingi Bilioni 9.96…

Read More
  • International
  • Sports

Simba Yamteua Steve Barker Kuwa Kocha Mkuu Mpya

Saleh52 minutes ago02 mins

Klabu ya Simba SC imethibitisha rasmi kumteua Steve Barker kuwa kocha mkuu mpya wa kikosi hicho, akichukua nafasi ya Meneja Dimitar Pantev ambaye ameondolewa katika majukumu yake. Barker ni raia wa Afrika Kusini mwenye uzoefu mkubwa wa soka la Afrika, na jina lake halikuwa geni kwa mashabiki wa Simba SC. Kocha huyo aliwahi kukutana na…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2025. Powered By BlazeThemes.