
SIMBA YACHEKELEA KULIPA KISASI KWA TABORA UNITED
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa umefurahi kulipa kisasi dhidi ya timu ambazo zilifungwa na Tabora United kwenye mechi za ushindani ambazo zilichezwa msimu wa 2024/25 ndani ya uwanja. Simba imecheza mechi 16 za Ligi Kuu Bara inayodhaminiwa na NBC ikiwa ni ligi namba nne kwa ubora Afrika. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu…