>

SIMBA: TUMEUMIZWA VIBAYA MNO

UONGOZI wa Simba umebainisha kwamba umeumizwa vibaya kukwama kupata matokeo kwenye mchezo dhidi ya Mashujaa uliochezwa Uwanja wa Lake Tanganyika. Ilikuwa ni kwenye CRDB Federation raundi ya nne ambapo baada ya dakika 90 ubao ulisoma Mashujaa 1-1 Simba na kwenye penalti ilikuwa Mashujaa 6-5 Simba. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba…

Read More

YANGA HAO ROBO FAINALI

MABINGWA watetezi wa CRDB Federation Cup Yanga wamekata tiketi kutinga hatua ya robo fainali kwa ushindi wakiwa ugenini. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma umesoma Dodoma Jiji 0-2 Yanga. Bao la mapema dakika ya tatu kupitia kwa Emmanuel Martin ambaye alijifunga dakika ya 3 na Clement Mzize dakika ya 66 alipachika…

Read More

KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA DODOMA JIJI

MABINGWA watetezi wa CRDB Federation Cup, Yanga wanatupa kete yao dhidi ya Dodoma Jiji, Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Hiki hapa kikosi cha Yanga kinachotarajiwa kuanza namna hii:- Djigui Diarra Fred Nondo Bacca Maxi Kibabage Sure Boy Mudathir Yahya Mzize Aziz KI Okra Hawa hapa wachezaji wa akiba wa Yanga Mshery, Kibwana, Farid, Aucho, Mkude, Shekhan,…

Read More

MIAMBA HAWA KATIKA RADA ZA SIMBA

KWA nyakati tofauti miamba wawili eneo la ushambuliaji Adam Adam na Relliat Lusajo walikuwa katika rada za Simba lakini mipango ikagoma. Adam aliibukia ndani ya Mashujaa na Lusajo alibaki Namungu kisha dirisha dogo ni mali ya Mashujaa. Ikumbukwe kwamba Lusajo alipokuwa Namungo aliwahi kuwatungua Simba mzunguko wa kwanza katika Ligi Kuu Bara Uwanja wa Uhuru…

Read More

LIGI YA MABINGWA ULAYA MOTO UTAWAKA LEO

Kivumbi cha ligi ya mabingwa ulaya kitaendelea leo ambapo itapigwa michezo miwili mikali kwenye michuano hiyo itakayokutanisha vilabu ambavyo vimekua na uzoefu wa michuano hiyo. Klabu ya Atletico Madrid wao watakua wenyeji kuwakaribisha Borussia Dortmund kutoka kule nchini Ujerumani, Huku Paris Saint German wao watakua nyumbani kupambana na mabingwa mara tano wa michuano hiyo klabu…

Read More

SIMBA YAWAFUATA IHEFU SINGIDA

BAADA ya kukamilisha kete kwenye CRDB Federation dhidi ya Mashujaa ya Kigoma, Aprili 10 msafara wa kikosi cha Simba umeanza kuelekea Singida. Ipo wazi kwamba Aprili 9 2024 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Lake Tanganyika ulisoma Mashujaa 1-1 Simba katika raundi ya nne na kupelekea mshindi kupatikana kwe penalti. Mashujaa 6-5 Simba…

Read More

M-BET YAMZAWADIA MSHINDI WA PERFECT 12 MILIONI 140.5

 SHABIKI wa  klabu ya Simba na Arsenal, Yahya Saidi Bakari  ameshinda sh 140,503,890 baada ya kubashiri kwa usahihi matokeo ya ligi mbalimbali duniani kupitia mchezo wa Perfect 12 wa kampuni M-Bet Tanzania. M-Bet Yazindua Kampeni Mpya Mbali ya kumzawadia mshindi huyo, M-Bet pia imezindua kampeni mpya  ijulikanyo kwa jina la M-Bet Likes You ambayo  itawawezesha washindi…

Read More

SIMBA YASIKITIKIA MATOKEO YAKE

UONGOZI wa Simba umeyasikitikia matokeo yake inayopata ndani ya uwanja katika mechi za ushindani kitaifa na kimataifa. Ipo wazi kuwa mwendo wa Simba kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika umegotea hatua ya robo fainali na kwenye CRDB Federation Cup wamegotea raundi ya nne. Aprili 9 2024 ubao wa Uwanja wa Lake Tanganyika ulisoma Mashujaa 1-1 Simba…

Read More

ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA KINAWAKA LEO

Usiku wa kusisimua zaidi kwa wapenda soka duniani kote unarejea leo ambapo utaenda kushuhudia michezo mikali ikipigwa katika viwanja viwili tofauti katika hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya. Miamba ya soka kutoka nchini Hispania klabu ya Real Madrid itamenyana na  klabu ya Manchester katika mchezo wa kwanza wa robo fainali, Huku vinara…

Read More

FT: MASHUJAA 1-1 SIMBA, LAKE TANGANYIKA, (6-5)

CRDB Federation Cup. Mashujaa wanaifunagshia virago Simba kwenye CRDB Federation Cup kwa ushindi wa penalti 6-5 baada ya dakika 90 kutoshana nguvu kwa kufungana bao 1-1. Simba haina bahati mbele ya Mashujaa kwa kuwa iliwahi kutolewa walipokutana kwenye mashindano hayo hivyo kisasi cha ushindi kwenye ligi kimelipwa mazima katika raundi ya nne. Mashujaa 1-1 Simba…

Read More