Home Sports SIMBA: TULICHAFUKWA KWELIKWELI, MAMBO YALIKUWA HAYAENDI

SIMBA: TULICHAFUKWA KWELIKWELI, MAMBO YALIKUWA HAYAENDI

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa ulikuwa kwenye wakati mgumu katika kutafuta matokeo hivyo kuja kwa Kocha Mkuu, Juma Mgunda kumetuliza hali kutokana na kocha huyo kuwaamini vijana na wachezaji wote wanafanya vizuri huku akibainisha kuwa walikuwa wamechafukwa kutokana na mwendo ulivyokuwa ndani ya timu hiyo.

Previous articleKIBU AMESAINI, CHAMA MAMBO MAGUMU
Next articleANA KITU HUYU NYOTA MPYA WA YANGA