Подпишитесь На 150 Бонусов Казино! – Азино Мобайл Сайт
Подпишитесь На 150 Бонусов Казино! – Азино Мобайл Сайт
Подпишитесь На 150 Бонусов Казино! – Азино Мобайл Сайт
UBAO wa Uwanja wa KMC, Complex umesoma Yanga 4-0 Tanzania Prisons ikiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara. Mabao ya Clement Mzize dakika ya 13, Ibrahim Bacca dakika ya 42, 83 na Prince Dube dakika ya 45. Kwenye mchezo wa leo Bacca amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo. Rekodi zinaonyesha kuwa katika mechi tano zilizopita…
SIMBA ni timu ambayo imefunga mabao mengi ndani ya Ligi Kuu Bara baada ya kucheza jumla ya mechi 13 ndani ya NBC Premier League. Mabao 29 imefunga huku kinara wa utupiaji akiwa nj Jean Ahoua mwenye mabao sita kibindoni kwenye ligi. Ateba na Mukwala hawa wawili wametupia mabao mannemanne kila mmoja katika mabao hayo 29….
MWAMBA Aboutwalib Mshery kipa wa Yanga leo Desemba 22 ana kibarua cha kutimiza majukumu yake mbele ya Wajelajela, Tanzania Prisons mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC Complex. Huu unakuwa ni mchezo wa kwanza kwa Mshery kuanza kikosi cha kwanza msimu wa 2024/25 huku Kibwan Shomary ambaye mchezo uliopita dhidi ya Mashujaa…
CAMARA Moussa ambaye ni jicho la timu amekuwa akifungwa mabao yanayotokana na kupunguza umakini hasa katika eneo lake. Ukitazama mabao yote matano aliyofungwa ndani ya Ligi Kuu Bara amehusika kwa uzembe asilimia kubwa,Desemba 21 alikuwa shuhuda ubao wa Uwanja wa Kaitaba ukisoma Kagera Sugar 2-5 Simba. Mabao mawili dhidi ya Coastal Union, moja alifungwa akiwa…
Jumapili ndio hii imefika ya kuchukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet ambapo mechi kibao za pesa zitakuwa uwanjani hapo baadae kusaka pointi 3. Unasubiri nini kuchukua chao mapema? Mechi za ligi kuu ya Italia SERIE A leo hii zinaendelea ambapo Atalanta atakuwa nyumbani kumenyana dhidi ya Empoli ambao wanashikilia nafasi…
Gabriel ‘Jesus’ amefunga magoli mawili wakati Washika Mitutu Arsenal wakiendelea kuweka hai matumaini ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England baada ya kushusha kipigo cha 5-1 dhidi ya Crystal Palace ikiwa ni ushindi wao mkubwa zaidi msimu huu. Arsenal imefikisha pointi 33 baada ya mechi 17 huku wakiendelea kusalia nafasi ya tatu kwenye msimamo wa…
Bao la dakika za jioooni la Alexander Sorloth limeipatia Atletico Madrid pointi zote tatu dhidi ya Barcelona katika dimba la Olímpic Lluís Companys na kukwea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Uhispania (Laliga). Atletico Madrid imefikisha pointi 41 baada ya mechi 18 huku Barcelona ikiporomoka mpaka nafasi ya pili pointi 38 baada ya mechi 19….