MWAMBA MSHERY KWENYE KIBARUA DHIDI YA PRISONS

MWAMBA Aboutwalib Mshery kipa wa Yanga leo Desemba 22 ana kibarua cha kutimiza majukumu yake mbele ya Wajelajela, Tanzania Prisons mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC Complex. Huu unakuwa ni mchezo wa kwanza kwa Mshery kuanza kikosi cha kwanza msimu wa 2024/25 huku Kibwan Shomary ambaye mchezo uliopita dhidi ya Mashujaa…

Read More

CAMARA NA MWENDELEZO WAKE KUFUNGWA BONGO

CAMARA Moussa ambaye ni jicho la timu amekuwa akifungwa mabao yanayotokana na kupunguza umakini hasa katika eneo lake. Ukitazama mabao yote matano aliyofungwa ndani ya Ligi Kuu Bara amehusika kwa uzembe asilimia kubwa,Desemba 21 alikuwa shuhuda ubao wa Uwanja wa Kaitaba ukisoma Kagera Sugar 2-5 Simba. Mabao mawili dhidi ya Coastal Union, moja alifungwa akiwa…

Read More

SIKU YA KUONDOKA NA MKWANJA MREFU NI LEO

Jumapili ndio hii imefika ya kuchukua maokoto yako ya maana na mabingwa wa odds kubwa Meridianbet ambapo mechi kibao za pesa zitakuwa uwanjani hapo baadae kusaka pointi 3. Unasubiri nini kuchukua chao mapema? Mechi za ligi kuu ya Italia SERIE A leo hii zinaendelea ambapo Atalanta atakuwa nyumbani kumenyana dhidi ya Empoli ambao wanashikilia nafasi…

Read More

ARSENAL YAMPIGA MTU MKONO LIGI KUU

Gabriel ‘Jesus’ amefunga magoli mawili wakati Washika Mitutu Arsenal wakiendelea kuweka hai matumaini ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England baada ya kushusha kipigo cha 5-1 dhidi ya Crystal Palace ikiwa ni ushindi wao mkubwa zaidi msimu huu. Arsenal imefikisha pointi 33 baada ya mechi 17 huku wakiendelea kusalia nafasi ya tatu kwenye msimamo wa…

Read More

BACELONA YAPIGIKA NYUMBANI LA LIGA

Bao la dakika za jioooni la Alexander Sorloth limeipatia Atletico Madrid pointi zote tatu dhidi ya Barcelona katika dimba la Olímpic Lluís Companys na kukwea kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Uhispania (Laliga). Atletico Madrid imefikisha pointi 41 baada ya mechi 18 huku Barcelona ikiporomoka mpaka nafasi ya pili pointi 38 baada ya mechi 19….

Read More