
CHEKA TU LEONBET EDITION YASIMAMISHA JIJI KWA BURUDANI
Mashabiki wakubashiri wa kampuni inayotamba ya LEONBET Tanzania walipata burudani ya kisasa ya kuvunja mbavu na wachekeshaji maarufu nchini kwenye uzinduzi rasmi wa kampuni hiyo uliopewa jina la CHEKA TU: LEONBET EDITION. Burudani hiyo ya kisasa ilifanyika Novemba 8, 2024 kwenye ukumbi wa Warehouse Masaki. Mashabiki wa vichekesho nchini walipata burudani kutoka kwa wakali wa…