CHEKA TU LEONBET EDITION YASIMAMISHA JIJI KWA BURUDANI

 Mashabiki wakubashiri wa kampuni inayotamba ya LEONBET Tanzania walipata burudani ya kisasa ya kuvunja mbavu na wachekeshaji maarufu nchini kwenye uzinduzi rasmi wa kampuni hiyo uliopewa jina la CHEKA TU: LEONBET EDITION. Burudani hiyo ya kisasa ilifanyika Novemba 8, 2024 kwenye ukumbi wa Warehouse Masaki. Mashabiki wa vichekesho nchini walipata burudani kutoka kwa wakali wa…

Read More

SIMBA QUEENS WAITULIZA YANGA PRINCESS

KWENYE ulimwengu wa soka la Wanawake Tanzania ushindani unazidi kuwa mkubwa kila iitwapo leo ambapo mchezo mkali wa Kariakoo Dabi uliochezwa Uwanja wa KMC, Mwenge ni Simba Queens waliibuka wababe. Baada ya dakika 90 kwenye mchezo huo ubao ulisoma Yanga Princess 0-1 Simba Queens huku bao la ushindi likifungwa na Vivian Corazone kipindi cha pili….

Read More

CHEZA GODS SPIN USHINDE MAMILIONI

Mchezo wa kasino unaobamba kwasasa mjini ni Gods Spin ambao unapatikana pale kwenye tovuti ya Meridianbet, Ambapo umekua ukitoa washindi kedekede kila uchwao cheza sasa ushinde. Age of the Gods Spin a Win ni mchezo wa kasino ya mtandaoni ambao unaweza kukuletea ushindi wa kushangaza. Mchezo huu unakupa odds za kipekee na bonasi za kasino…

Read More

100 Super Icy Sloti Kukupa Mihelaa

Sloti ya 100 Super Icy ni moja ya Sloti ambazo zinapatikana kwa mabingwa wa michezo kubashiri kampuni ya Meridianbet ambayo kwa kiwango kikubwa imekua ikitoa washindi wa miheaa, Cheza leo Sloti hii leo umeweza kushinda kitita kizito. 100 Super Icy ni mchezo mpya wa sloti wenye kusisimua kutoka kwa watengenezaji wa michezo ya kasino ya…

Read More

KITAWAKA EPL, LALIGA JUMAMOSI YA LEO

Je unajua kuwa ligi pendwa leo kuna mechi za uhakika?, mechi za kukupatia maokoto ya maana. Yaani namanisha kule EPL, LALIGA, SERIE A na kwingineko ni moto mkali sana. Beti sasa hapa. Mapema kabisa leo hii LALIGA kuna mechi kali bingwa mtetezi  Real Madrid ambaye wikendi iliyopita hakucheza, leo hii atamenyana dhidi ya CA Osasuna…

Read More

SIMBA ISHU YA PACOME IPO NAMNA HII

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa ikiwa wataridhishwa na kiwango cha nyota wa Yanga, Pacome Zouzoua utahangaika naye ili kupata saini yake. Nyota huyo mkataba wake unatarajiwa kugota mwisho mwishoni mwa msimu wa 2024/25 ambapo bado hajaongeza kandarasi nyingine  huku mazungumzo yakitajwa kuendelea. Ahmed Ally Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema wanatambua…

Read More

YANGA: HATUKUWA NA MCHEZO MZURI MBELE YA TABORA UNITED

ALI Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa hawakuwa na mchezo mzuri tangu dakika ya kwanza mbele ya Tabora United hivyo wameyapokea matokeo kinyonge wanaamini watarejea kwenye ubora. Ikumbukwe kwamba Novemba 7 2024, Yanga ilipoteza mchezo wake wa pili kwenye ligi baada ya kushuhudia ubao wa Uwanja wa Azam Complex ukisoma Yanga 1-3 Tabora United….

Read More

WIKENDI YA KUTIMIZA NDOTO ZAKO IMEFIKA

Ligi mbalimbali zinaendelea leo kuanzia kule Ujerumani, Ligue 1, Laliga, Saudia na kwingineko huko, lakini kumbuka kuwa sehemu pekee ya wewe kujihakikishia ushindi ni Meridianbet. Bashiri sasa mechi za leo hapa. Leo hii ni Olympique Marseille vs AJ Auxerre kule LIGUE 1 mchezo ambao utapigwa majira ya 4:45 usiku ambapo Meridianbet wamemua kumpa nafasi kubwa…

Read More