Afisa Habari wa klabu ya Yanga SC Ally Kamwe ameeleza kuwa wanaendelea na maandalizi kwa ajili ya mchezo wao wa Klabu Bingwa dhidi ya Al Hilal FC ya Sudan.
ALI KAMWE AFICHUA HASIRA ZAO WATAMMALIZIA AL HILAL – ”TUNATAKA KUMTUMIA KAMA MFANO”…

Afisa Habari wa klabu ya Yanga SC Ally Kamwe ameeleza kuwa wanaendelea na maandalizi kwa ajili ya mchezo wao wa Klabu Bingwa dhidi ya Al Hilal FC ya Sudan.