STARS CHALI, SUDAN YASONGA MBELE KUFUZU CHAN 2024

Timu ya taifa ya Tanzania imepoteza kwa mkwaju ya penalti 6-5 dhidi ya Sudan kwenye mchezo wa kuwania kufuzu CHAN 2024. Kwa matokeo hayo Sudan wamesonga mbele na Tanzania watashiriki fainali hizo kama wenyeji sambamba na Nchi za Kenya na Uganda. FT: Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ 1️⃣-0️⃣ πŸ‡ΈπŸ‡© Sudan (Agg 1-1, Pen 5-6) ⚽️ Chrispine Ngushi 34’

Read More

Nyakua Mkwanja wa Haraka na Meridianbet Leo

Je unajua kwa dau lako dogo unaweza ukajishindia mamilioni ya pesa?. Beti mechi zote kuanzia kule LALIGA, EPL, LIGUE 1 na zingine kibao ujiweke kwenye nafasi ya kutusua mapene. Tukianza na ligi ya Ujerumani leo hii BUNDESLIGA mechi ni mbili pekee ambapo SC Freiburg baada ya kupoteza mechi yake iliyopita, leo atamkaribisha FSV Mainz ambaye…

Read More