>

YANGA KAZINI KIMATAIFA LIGI YA MABINGWA AFRIKA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa Yanga kesho Septemba 14 2024 wanakibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo dhidi ya CBE SA ya Ethiopia. Septemba 12 2024 msafara wa Yanga uliwasili salama nchini Ethiopia kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo huo ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote mbili. Miguel Gamondi,…

Read More

FOUNTAIN GATE HAWATAKI UTANI HESABU NDEFU

UONGOZI wa Fountain Gate umeweka wazi kuwa mpango mkubwa ni kupata pointi tatu kwenye mechi zao zote ambazo watacheza kutokana na kuwa na kikosi bora. Mechi mbili mfululizo Fountain Gate imekomba pointi tatu ilikuwa kwenye mchezo dhidi ya Namungo ugenini na mchezo dhidi ya Ken Gold wakiwa nyumbani. Katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Majaliwa ilikuwa…

Read More

RAIS SAMIA MGENI RASMI TAMASHA LA UTAMADUNI SONGEA

Rais Dk Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Tamasha la Tatu la Utamaduni ambalo litafanyika kwa siku nne kuanzia Septemba 20 hadi 23, 2024 wilayani Songea Mkoani Ruvuma. Akizungumza katika mkutano wake na waandishi wa habari Jijini Dodoma leo Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa amesema tamasha hilo linatokana…

Read More

MANARA: FOCUS YETU IWE MECHI YA KESHO LA KAGOMA TULIWEKE KIPORO

Anaandika Haji MANARA, Na mimi nalisoma na kulisikia Sakata la mchezaji Yussuf Kagoma kama tunavyosikia wengi… Ningeshauri jambo kwa Wanayanga wenzangu, hebu tufocus na mechi ngumu ya kesho ugenini dhidi ya Wahabesh. Wachezaji wetu wanasoma mitandaoni mabishano yetu na Watani zetu, na wao kama binadaamu wanaingia katika mkumbo wa kipi iko focus zaidi. Tuitumie siku…

Read More

BUNDESLIGA, LA LIGA, LIGUE 1 KUKUPA MKWANJA LEO

Ligi kuu ya soka nchini Hispania, Ujerumani, na Ufaransa leo zitaanza kupigwa rasmi baada ya kupisha michezo ya kimataifa  wiki kadhaa zilizopita kupitia Meridianbet unaweza kushinda mamilioni kupitia michezo hii.   Klabu ya Borussia Dortmund, Real Betis, pamoja na klabu ya Lille watakua na vibarua leo katika michezo ya ligi zao, Ambapo michezo yote imepewa…

Read More

MWANASHERIA WA YANGA AFUNGUKA SAKATA LA KAGOMA ATOA TAMKO

MKURUGENZI wa Sheria wa Yanga, Simon Patrick leo Septemba 12, 2024 amethibitisha kuwa timu yao ilikamilisha mchakato wa kumsajili Yusuph Kagoma mwezi Machi 2024 kutoka klabu ya Fountain Gate. Akizungumza wanahabari mapema leo, Simon amesema mazungumzo kati ya Yanga na Fountain Gate kwa ajili ya usajili wa Kagoma yalianza Machi 3, 2024 “Yanga ilipewa masharti…

Read More

IVERPOOL YAANZA LIGI KWA NAMNA YA TOFAUTI

Ligi mbalimbali barani ulaya zimerejea kwa kishindo na klabu ambayo imeonekana kuanza msimu kibabe tofauti na ilivyotarajiwa ni klabu ya Liverpool, Ambapo klabu hiyo mpaka sasa imefanikiwa kushinda michezo yake mitatu mpaka sasa.    Liverpool haikudhaniwa kuanza msimu vizuri kwani waliondokewa na kocha wa Jurgen Klopp wengi wakiamini inaweza kuwachukua muda kujipata, Lakini imekua tofauti…

Read More

SIMBA YAKIRI WAPINZANI WAO KIMATAIFA SIO WANYONGE

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa wapinzani wao kwenye Kombe la Shirikisho Afrika sio wanyonge hivyo watawakabili kwa tahadhari kupata matokeo chanya kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa Septemba 15 2024 nchini Libya. Tayari msafara wa Simba umeanza safari kuwafuata wapinzani wao ambapo Septemba 11 mapema kikosi kilikwea pipa kutoka Bongo na kuweka kambi Uturuki na mapema…

Read More

CHEZA NA USHINDE MAMLIONI YA GODDESS OF THE NIGHT KASINO

Historia Inasema kwamba Marekani iliwahi kukaliwa na Wahindi wekundu kabla yaw a Waafrika kuanza kupelekwa na kufanyishwa kazi mashambani na viwandani. Kupitia kasino ya mtandaoni unaweza kujifunza mengi huku unatengeneza pesa, kwa kucheza mchezo unaoitwa Goddess of the Night. Jisajili na Meridianbet kubashiri kirahisi na kushinda. Goddess of the Night Kasino ya Mtandaoni Mchezo wa…

Read More

WACHEZAJI STARS WAPEWA PONGEZI USHINDI AFCON

BENCHI la ufundi la timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars limeweka wazi kuwa pongezi kubwa kwa ushindi wa mchezo wa kuwania kufuzu AFCON 2025 mbele ya Guinea wanastahili wachezaji kwa kuwa walicheza kwa kujituma na kufuata malekezo. Ni Septemba 10 2024 Stars ikiwa ugenini ilikomba pointi tatu mazima mbele ya Guinea wakipindua meza kibabe…

Read More