MWAMBA KUTOKA MWANZA MWANZA AMEACHIA ZAWADI HII

LEGEND kwenye muziki Bongo Fareed Kubanda ambaye ni mzawa kutoka Mwanza ameachia ngoma mpya inayokwenda kwa jina la Simba. Kazi hiyo ameiachia muda mfupi ikiwa ni kumbukizi yake ya kuletwa duniani Agosti 13 ambapo kwenye nyimbo yake ya Agosti 13 akiwa na Salam Jay na Juma Nature alibainisha kuwa alizaliwa katika Hospital ya Bugando, Mwanza….

Read More

SIMBA KUSHUSHA MSHAMBULIAJI WA KAZI

UONGOZI wa Simba umebainisha kwamba upo kwenye mpango wa kukamilisha usajili wa mshambuliaji ili kuongeza nguvu katika kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Ipo wazi kwamba Simba ni namba tatu kwenye Ngao ya Jamii 2024/25 imeshuhudia safu ya ushambuliaji ikifunga bao moja pekee na mtupiaji ni kiungo Saleh Karabaki ilikuwa dakika ya 10…

Read More

Cheza Expanse Ushinde Mamilioni

Meridianbet wanakwambia ukicheza Expanse Kasino unajiweka sehemu nzuri ya kujishindia maokoto ya kutosha. Jisajili hapa kuwa sehemu nzuri Zaidi ya ushindi.   Kupitia shindano la michezo ya kasino ya mtandaoni kutoka Expanse, unaweza kujishindia hadi Tsh 4,750,000/= ikiwemo bonasi za kasino kibao. Kuna michezo mingi ya kasino na Sloti ambayo inaweza kukufanya kuwa Milionea.  …

Read More

SINGIDA BLACK STARS KULETA USHINDANI KITAIFA

UONGOZI wa Singida Black Stars umeweka wazi kuwa malengo makubwa ni kuleta ushindani kitaifa kutokana na usajili makini waliofanya pamoja na uzi mzuri kuliko timu zote Bongo kuwa mali yao kwa msimu wa 2024/25. Timu hiyo inanolewa na Kocha Mkuu, Patrick Aussems wengi hupenda kumuita Uchebe aliwahi kuifundisha Simba inayoshiriki Ligi Kuu Bara na mafanikio…

Read More

AZAM FC YATUMA UJUMBE MZITO

UONGOZI wa Azam FC umetuma ujumbe mzito kwa wapinzani wao kitaifa na kimataifa kwa kubainisha kuwa watawashangaza wengi kwenye mechi za ushindani. Ikumbukwe kwamba Azam FC imegotea nafasi ya pili kwenye Ngao ya Jamii 2024/25 baada ya kupoteza mchezo wa fainali dhidi ya Yanga, Uwanja wa Mkapa kwa kushuhudia ubao ukisoma Yanga 4-1 AzamFC. Kwenye…

Read More

SIMBA NA MATUMAINI KIBAO KWA WACHEZAJI WAO

LICHA ya wachezaji wa Simba kutokuwa kwenye mwendo mzuri katika mechi za Ngao ya Jamii ungozi wa Simba umebainisha kwamba watakuwa bora katika mechi za ushindani kwa kuwa kuna vitu vidogo wamekosa vitafanyiwa kazi. Timu hiyo iliweka kambi Misri imepishana na taji la Ngao ya Jamii ikigotea nafasi ya tatu huku nafasi ya nne ikiwa…

Read More