![BREAKING: MWENYEKITI WA BODI SIMBA AJIUZULU, AMTANGAZA MO DEWJI KURUDI](https://salehjembe.co.tz/wp-content/uploads/2024/06/mo0-600x400.jpeg)
BREAKING: MWENYEKITI WA BODI SIMBA AJIUZULU, AMTANGAZA MO DEWJI KURUDI
Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya klabu ya Simba Sc Salim Abdallah “Try Again” ametangaza kujiuzulu kutoka kwenye nafasi hiyo kwenye mazungumzo yake jioni leo Juni 11, 2024 kupitia Insta Live kwenye ukurasa rasmi wa Simba SC amesema, Mohammed Dewji atarudi kuwa mwenyekiti wa Bodi kama awali. “Kwa maslahi mapana ya Simba kwa kutambua mpira…