HT: MATOKEO YA MECHI 8 LIGI KUU BONGO

MZUNGUKO wa pili wa Ligi Kuu Bara unaendelea ambapo leo zinachezwa mechi 8 zinarushwa live pia Azam TV. Haya hapa matokeo ya mechi hizo dakika 45 za mwanzo namna hii pamoja na sehemu inayorushwa na Azam TV:- Simba 1-0 KMC LIVE inarushwa AzamSports2HD. Azam 0-0 Kagera Sugar LIVE   AzamSports3HD Singida 2-0 Geita Gold LIVE Sinema…

Read More

MECHI NANE KURUSHWA LIVE AZAM TV

LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea ikiwa ni mzunguko wa pili na leo Mei 25 zinatarajiwa kuchezwa Mechi 8. Huu ni mzunguko wa pili na kila timu imebakiwa na mechi mbili, wadhamini wakuu ni NBC tayari wameshakamilisha mpago wa kutoa taji kwa mabingwa ambao ni Yanga huku Azam TV mwendelezo wao ni kurusha matangazo live. Hapa…

Read More

AZIZ KI, FEISAL KWENYE VITA YAO NYINGINE, WAFUNGUKA

MASTAA wawili wanaofanya kazi kubwa kwenye kutimiza majukumu yao ndani ya uwanja katika mechi za Ligi Kuu Bara, Aziz KI na Feisal Salum wamefungukia hatma yao kuhusu kutwaa tuzo ya kiatu cha ufungaji bora. Mei 25 wababe hao wawili kila mmoja atakuwa kazini kupambania nembo ya timu ambapo Yanga watakuwa na kibarua dhidi ya Tabora…

Read More

YANGA WAPIGA HESABU ZA KUITULIZA TABORA UNITED

MABINGWA wa Ligi Kuu Bara, Yanga msimu wa 2023/24 wamebainisha kuwa moja ya malengo yaliyopo ni kupata ushindi kwenye mchezo wao dhidi ya Tabora United. Leo Mei 25 Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi inakibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Tabora United. Mchezo huo ni maalumu kwa Yanga kukabidhiwa taji la ligi ambalo…

Read More