AZAM FC YATINGA FAINALI CRDB FEDERATION CUP

MATAJIRI wa Dar Azam FC chini ya Kocha Mkuu Yusuph Dabo wamefanikisha lengo la kutinga hatua ya fainali CRDB Federation Cup kwa ushindi wa mabao 3-0 Coastal Union. Katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha, Azam FC wamekuwa wababe ndani ya dakika 90. Mabao mawili yamefungwa na Abdul Sopu ilikuwa dakika ya 42…

Read More

YANGA YATUMA UJUMBE HUU IHEFU

KUELEKEA kwenye mchezo wa nusu fainali ya CRDB Federation Cup mabingwa watetezi wa taji hilo Yanga wamebainisha kwamba hesabu kubwa ni kufanya vizuri kwa kupata matokeo chanya. Yanga inakutana na Ihefu Mei 19 Uwanja wa CCM Kirumba kwenye nusu fainali ambapo mshindi atakutana na Azam FC kwenye fainali iliyopata ushindi dhidi ya Coastal Union ya…

Read More

COASTAL UNION KUMENYANA NA AZAM FC

WANAUME wa kazi Azam FC na Coastal Union wanatarajiwa kuvuja jasho ndani ya dakika 90 kusaka mshindi atakayetinga fainali kwenye mchezo wa CRDB Federation Cup hatua ya nusu fainali dhidi ya Azam FC. Ni Uwanja wa CCM Kirumba mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kwa timu hizo mbili kuwa na kazi kusaka ushindi. Ni mchezo unaotarajiwa kumtoa…

Read More

FUNGAFUNGA BADO MBILI SIMBA

SIMBA inafikisha pointi 60 baada ya kucheza mechi 27 nafasi ya tatu ikiwa sawa pointi na Azam FC iliyo nafasi ya pili tofauti kwenye mabao ya kufunga na kufungwa. Michael Fred ambaye Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba Ahmed Ally anapenda kumuita fungafunga amebakisha mabao mawili kufikia rekodi ya mwamba Jean Baleke na…

Read More