>

FUNGAFUNGA MICHEL FRED AWAIBUA SIMBA

MWAMBA Michel Fred ambaye Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba anapenda kumuita fungafunga ameweka wazi kuwa mashabiki waendelee kuwa na mshikamano mambo mazuri yanakuja. Timu hiyo imetinga hatua ya fainali Kombe la Muungano 2024 kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya KVZ inatarajiwa kumenyana na Azam FC Aprili 27 katika mchezo…

Read More

YANGA WANAUTAKA UBINGWA WAO

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa mipango yao ipo palepale kupambana kufikia malengo ya kutwaa ubingwa kwa kuwa hilo ni jambo ambalo walianza nalo kazi mapema mwanzo wa msimu. Chini ya Miguel Gamondi, Yanga imekuwa ikipata matokeo kwenye mechi zake za ushindani huku safu ya ushambuliaji ikiwa inaongozwa na kiungo mshambuliaji Aziz KI mwenye mabao…

Read More

LIGI KUU BARA KIVUMBI KINGINE LEO

LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea ikiwa ni mzunguko wa pili kwa msimu wa 2023/24. Aprili 26 ikiwa ni kumbukizi ya miaka 6 ya Muungano mchezo mmoja unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Jamhuri, Dodoma. Dodoma Jiji ambao ni wenyeji watawakaribisha KMC kwenye mchezo huo wa mzunguko wa pili kusaka pointi tatu muhimu. Dodoma Jiji kwenye msimamo wa…

Read More

YANGA YAVUTA WATANO, MIKATABA MASTAA SIMBA YACHANWA

MSIMU MPYA MAMBO MAPYA! Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine. Tunatoa zawadi kwako ewe msomaji ambapo kwa kununua GAZETI LA CHAMPIONI, utapata fursa ya kuzawadiwa jezi mpya ya Simba au Yanga za msimu wa 2023/2024, pindi ununuapo gazeti letu kupitia Global App. Soma Gazeti…

Read More

FAINALI MUUNGANO SIMBA V AZAM FC

BAADA ya Azam FC kupata ushindi wa mabao 5-2 dhidi ya KMKM kwenye mchezo wa nusu fainali ya Muugano sasa inakwenda hatua ya fainali itakutana na Simba. Aprili 25 ubao wa Uwanja wa New Amaan Complex baada ya dakika 90 ulisoma Azam FC 5-2 KMkm kwenye nusu fainali ya pili. Mchezo wa fainali unatarajiwa kuchezwa…

Read More

FAINALI YA MUUNGANO KUPIGWA NA HAWA HAPA

KOMBE la Muungano 2024 limeanza kuunguruma Visiwani Zanzibar ambapo limeanzia kwenye hatua ya nusu fainali. Nusu fainali ya kwanza ilikuwa ni Aprili 24 2024 ambapo ilikuwa ni Uwanja wa New Amaan Complex. Katika mchezo huo baada ya dakika 90 ubao ulisoma KVZ 0-2 Simba hivyo Simba inakuwa timu ya kwanza kutinga hatua ya fainali. Mchezo…

Read More

AZAM FC KUIKABILI KMKM MUUNGANO

KLABU ya  Azam FC matajiri wa Dar wanakibarua kigumu kwenye mchezo wa nusu fainali Muungano 2024 dhidi ya KMKM kwa kila mmoja kusaka ushindi kusonga mbele hatua ya fainali. Ikumbukwe kwamba Aprili 24 Simba ilikuwa na kibarua mbele ya KVZ na iliibuka na ushindi wa mabao 2-0 hivyo imetinga hatua ya fainali ikisubiri mshindi wa…

Read More

YANGA WATAJA SABABU YA KUAMBUIA POINTI MOJA

BAKARI Mwamnyeto nahodha wa Yanga ameweka wazi kuwa moja ya sababu kubwa iliyofanya wakakosa ushindi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya JKT Tanzania ni sehemu ya kuchezea kutokuwa rafiki. Mchezo wa mzunguko wa pili kati ya JKT Tanzania na Yanga ulichezwa Aprili 24 2024 ambapo awali ulitarajiwa kuchezwa Aprili 23 lakini uliahirishwa kutokana…

Read More

SIMBA YATINGA FAINALI, NGOMA NI BALAA

MWAMBA Fabrice Ngoma na Zanzibar ni damudamu kutokana na kuwa katika kiwango bora kama ambavyo ilikuwa kwenye Mapinduzi 2024 alipoibuka mchezaji bora katika Michuano hiyo. Hivyo nyota huyo kwenye uwanja eneo la kiungo amekuwa na balaa zito wakiwa visiwani jambo linalofanya akombe tuzo hizo mara kwa mara. Kwa mara nyingine tena Simba wamerejea Zanzibar, Uwanja…

Read More

TENGENEZA STRAWBERRY COCKTAIL NYUMBANI KWAKO FANYA HAYA HUKU UKICHEZA MERIDIANBET KASINO

Utaandaa matunda yako unayotaka kutumia unaweza kutumia Strawberry, Cantaloupe ni jamii ya matunda ya limao, embe, parachichi, halafu kwenye kusaga usitumie maji tumia juisi ya Apple, au zabibu, maziwa na asali pamoja na sukari nyeupe. Jisajili Meridianbet upate bonasi za kasino na michezo mingi ya bure. Utachagua unaanza kusaga matunda gani kwa mfano utaanza na…

Read More