YANGA WAIPIGA MKWARA SIMBA

JOTO la Kariakoo Dabi linazidi kupanda ikiwa ni siku nne kwa sasa zinahesabiki kabla ya mchezo huo kuchezwa Uwanja wa Mkapa na kila timu ikiwa kwenye hesabu za kupata pointi tatu. Yanga ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara na vinara wa ligi wamewapiga mkwara watani zao wa jadi kwa kubainisha kuwa wanhitaji pointi…

Read More

NYOTA YANGA NA OFA KIBAO MEZANI

INAELEZWA kuwa nyota wa Yanga ambaye ni chaguo la kwanza ndani ya benchi la ufundi la timu hiyo ana ofa kibao mezani kwa timu mbalimbali kuwania saini yake. Ni Clement Mzize anatajwa kuwa na ofa zaidi ya tatu mezani kwa timu kubwa barani Afrika kuhitaji saini yake kutokana na mwendelezo wake ndani ya uwanja kwenye…

Read More