YANGA YAPETA SPORTPESA DABI

YANGA wanaondoka na faida ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida Fountain Gate kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Ni kwenye SportPesa Dabi Yanga wameibuka wababe kwa kukomba pointi tatu muhimu kwenye mchezo huo baada ya dakika 90. Joseph Guede ameandika rekodi ya kufunga mabao mawili dakika ya 41 na dakika ya…

Read More

KAKOLANYA ATOROKA KAMBINI SINGIDA FOUNTAIN GATE

UONGOZI wa Singida Fountain Gate umebainisha kwamba kipa wao namba moja Beno Kakolanya ametoroka kambini. Taarifa iliyotolewa na Singida Fountain Gate inayoshiriki Ligi Kuu Bara imebainisha kuwa kipa huyo ametoroka muda mfupi wakiwa kwenye maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga. “Klabu ya Singida Fountain Gate inasikitishwa na kitendo cha mchezaji wetu…

Read More

Anza Jumapili yako na Ukiwa na Meridianbet

Mitanange kibao kutoka ligi mbalimbali, pia leo hii utamu wa soka bado unaendelea na wewe una nafasi ya kujiweka kwenye mamilionea kirahisi sana. Suka jamvi lako na ubashiri sasa. Kama kawaida ligi penwa yani EPL kutakuwa na mechi za pesa, Liverpool baada ya kutoka sare mchezo uiopita, leo hii atakuwa Anfield kukiwasha dhidi ya Crystal…

Read More