YANGA YAPETA SPORTPESA DABI

YANGA wanaondoka na faida ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida Fountain Gate kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba. Ni kwenye SportPesa Dabi Yanga wameibuka wababe kwa kukomba pointi tatu muhimu kwenye mchezo huo baada ya dakika 90. Joseph Guede ameandika rekodi ya kufunga mabao mawili dakika ya 41 na dakika ya…

Read More

KAKOLANYA ATOROKA KAMBINI SINGIDA FOUNTAIN GATE

UONGOZI wa Singida Fountain Gate umebainisha kwamba kipa wao namba moja Beno Kakolanya ametoroka kambini. Taarifa iliyotolewa na Singida Fountain Gate inayoshiriki Ligi Kuu Bara imebainisha kuwa kipa huyo ametoroka muda mfupi wakiwa kwenye maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga. “Klabu ya Singida Fountain Gate inasikitishwa na kitendo cha mchezaji wetu…

Read More