SIMBA WANAWAFUATA ASEC MIMOSAS NAMNA HII

KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya ASEC Mimosas wawakilishi Simba wamebainisha kwamba maandalizi yapo tayari na mpango wao ni kupata matokeo mazuri. Mchezo huo wa hatua ya makundi unatarajiwa kuchezwa Februari 23 siku ya Ijumaa kwenye msako wa pointi tatu kwenye mchezo huo ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Meneja wa…

Read More

FREDDY NA GUEDE HAPA VIPI? CHAMA AFUTA MABAO YAKE

Freddy na Guede hapa VIPI? Clatous Chama mwamba wa Lusaka amefuta mabao yake yote Soma Gazeti la Championi kwa urahisi mtandaoni kupitia Global App: https://globalapp.co.tz Au M-Paper: https://shorturl.at/dxABL Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa Gusa link hii kusoma Gazeti la Championi leo Jumatatu Feburuari 19, 2024 kila siku kupitia link hii…

Read More

TABORA UNITED WATUMA UJUMBE HUU AZAM FC

KOCHA Mkuu wa Tabora United, Goran Kopunovic amebainisha kwamba mchezo wao dhidi ya Azam FC hautakuwa mwepesi kutokana na wapinzani wao kuwa imara kwenye kusaka matokeo. Ipo wazi kuwa Azam FC ipo nafasi ya tatu mchezo wao uliopita wa kufunga mzunguko wa kwanza walipata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Geita Gold mchezo uliochezwa Uwanja…

Read More