GEITA GOLD YAPOTEZA MBELE YA SIMBA

KWENYE mechi mbili mfululizo Uwanja wa CCM Kirumba, Simba inaambulia pointi dakika za lala salama katikà mchezo wa Ligi Kuu Bara. Walianza Februari 9 ubao ulisoma Simba 1-1 Azam FC, bao lilifungwa na Clatous Chama dakika ya 90 Simba wakakomba pointi moja. Februari 12 ubao umesoma Geita Gold 0-1 Simba bao likifungwa na Babacar Sarr…

Read More

MBEBA MIKOBA YA AZIZ KI NOMA SANA

MTAMBO wa mabao ndani ya Ligi Kuu Bara, Aziz KI hajawa kwenye kikosi hicho katika mechi tatu mfululizo ambazo ni dakika 270 huku majukumu yake ya mapigo huru yakiwa kwenye miguu ya Pacome Zouzoa ambaye alikuwa na balaa. Sababu kubwa ya Aziz  mwenye mabao 10 na pasi mbili za mabao kutokuwa kwenye mechi hizo alikuwa…

Read More

UKIWA NA MERIDIANBET UNAKOSAJE MPUNGA?

Mechi mbalimbali kupigwa huku timu hizo kugombea pointi tatu leo. Je wewe beti yako unaiweka wapi kwenye mechi hizo?. Ingia meridianbet sasa na uanze kusuka mkeka wako, Leo Simba, Chelsea, Juventus uwanjani. Sasa unakosaje pesa hapo?. Pale Italia, SERIE A leo hii vijana wa Allegri Juventus watazipiga dhidi ya Udinese Calcio katika dimba la Allianz…

Read More

SIMBA YAZITAKA POINTI TATU ZA GEITA GOLD

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa unazihitaji pointi tatu za Geita Goled kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara.Ipo wazi kwamba na mabosi wa Geita Gold nao wanazihitaji poiti tatu hivyo mchezo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Ikumbukwe kwamba mchezo uliopita ikiwa nyumbani, ubao wa Uwanja wa CCM Kirumba ulisoma Simba 1-1 Azam FC huku wafungaji wakiwa…

Read More