FT: TANZANIA PRISONS 1-2 YANGA

FT Tanzania Prisons 1-2 Yanga Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Goal kwa Prisons ni Jeremia Juma na Yanga. Mzize na Pacome. Kikosi cha Tanzania Prisons kinasaka pointi tatu mbele ya Yanga ambao nao wanazihitaji pointi hizo pia. Tanzania Prisons wamepata bao kipindi cha pili dakika ya 64 kupitia kwa Jeremia Juma kwa pigo la faulo iliyosababishwa…

Read More

MASHUJAA WAZIPIGIA HESABU POINTI ZA DODOMA JIJI

BAADA ya kupoteza mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga uliochezwa Uwanja wa Azam Complex, Mashujaa FC wameweka wazi kwamba mpango wao ni kupata pointi tatu dhidi ya Dodoma Jiji. Ipo wazi kwamba Februari 8 2024 ubao wa Uwanja wa Azam Complex baada ya dakika 90 ulisoma Yanga 2-1 Mashujaa ikiwa ni mchezo wa…

Read More

TANZANIA PRISONS KUWAKABILI YANGA

TANZANIA Prisons inayotumia Uwanja wa Sokoine kwa mechi za nyumbani le Februari 11 inatarajiwa kuwa na kazi ya kusaka pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga. Kocha wa Prisons, Ahmad Ally ameweka wazi kuwa wanatambua mchezo utakuwa mgumu lakini wapo tayari kwa ajili ya kupambania pointi tatu. “Ni mchezo mgumu na…

Read More