Home Sports MRITHI WA MIKOBA YA BALEKE SIMBA AKINGIWA KIFUA

MRITHI WA MIKOBA YA BALEKE SIMBA AKINGIWA KIFUA

MRITHI wa mikoba ya Jean Baleke ndani ya kikosi cha Simba Micheal Fredy amekingiwa kifua na Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Ahmed Ally kuhusu uwezo wake kwenye upande wa kufunga mabao ndani ya kikosi hicho.

Previous articleFAINALI AFCON YA WABABE, DR CONGO MWENDO WAMEUMALIZA
Next articleKIUNGO HUYU HAKUJALI KUHUSU KUCHEZA ILA MACHO KWENYE NOTI