FT: YANGA 2-1 MASHUJAA, LIGI KUU BARA

YULEYULE shujaa kwenye mchezo uliopita dhidi ya Dodoma Jiji, Mudathir Yahya leo tena kafunga bao la ushindi dhidi ya Mashujaa. Dakika ya 85 zikiwa zimesalia dakika tano mpira kugota mwisho akafunga bao la ushindi na kuipa pointi tatu Yanga inayofikisha pointi 37 ikiwa namba moja kwenye msimamo. Kipindi cha pili Mashujaa wamepata bao la kuweka…

Read More

WAZIRI MKUU MGENI RASMI TASWA

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye bonanza maalumu la waandishi wa habari na wafanyakazi wa vyombo vya habari nchini “TASWA Media Day Bonanza 2024”. Bonanza hilo maalumu linatarajiwa kufanyika Februari 10, 2024 Msasani Beach Club, Dar. Tukio hilo linatarajiwa kuanza saa 3:00 asubuhi, litahusisha pia uzinduzi wa Tuzo za Wanamichezo Bora wa…

Read More

MUDA MKALI WA MABAO YA USIKU YANGA

KWENYE mechi ngumu ambazo wapinzani wa Yanga walikuwa wakicheza kwa kujilinda zaidi, kiungo Mudathir Yahya alikuwa ni mkali wa kutibua mipango hiyo na kuipa timu hiyo pointi tatu mazima Uwanja wa Azam Complex. Ikumbukwe kwamba Yanga ilipata sare yake ya kwanza msimu wa 2023/23 Februari 2 ubao wa Uwanja wa Kaitaba uliposoma Kagera Sugar 0-0…

Read More

FAINALI AFCON YA WABABE, DR CONGO MWENDO WAMEUMALIZA

MWENDO wameumaliza DR Congo kwa kupoteza dhidi ya Ivory Coast ambao ni wenyeji wa AFCON 2023 kwa ushindi wa bao 1-0. Bao pekee la ushindi kwa Ivory Coast lilipachikwa kimiani na Sebastien Haller dakika ya 65 likadumu mpaka mwisho wa mchezo huo. Katika nusu fainali ya kwanza Nigeria walitangulia kutinga hatua ya fainali Kwa ushindi…

Read More

AZIZ KI ATUA NA MABAO YA GUEDE YANGA

MABOSI wa Yanga wana matumaini makubwa na mshambuliaji wao mpya, Joseph Guede huku ukiamini kuwa nyota huyo atafaidika zaidi mara atakaporejea kiungo Mburkinabe, Stephen Aziz Ki. Kiungo huyo muda wowote kuanzia jana alitarajiwa kutua nchini kwa ajili ya kuuwahi mchezo wa ligi kuu dhidi ya Prisons Jumapili hii baada ya kuondolewa katika Fainali za Kombe…

Read More