>

KIKOSI CHA TAIFA STARS AFCON 2023

HII hapa orodha ya kikosi cha mwisho cha wachezaji 27 cha timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kwa ajili ya michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON 2023) 1. Kwesi Zion Kawawa 2. Haji Mnonga 3. Mudathir 4. Bacca 5. Dickson Job 6. Feisal Salum 7. Himid Mao 8. Morice Abraham 9. Cyprian Kachele…

Read More

Kuwa Milionea Leo Hii na Mechi Hizi za FA

Ikiwa leo hii ni JUmapili tulivu kabisa, mechi za kombe la FA Uingereza linataka kukupa pesa endapo utabshiri na meridianbet kwnai huku kuna machaguo mengi sana ambayo unaweza ukachagua na yakakupatia mkwanja mnono. Ushindwe wewe tuu kujibweda. Mechi kubwa leo hii ni ile inayowakutanisha kati ya Arsenal dhidi ya Liverpool yani ni kivumbi na jasho….

Read More

SIMBA NA HESABU ZAO HIVI

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema kuwa malengo makubwa ya timu hiyo ni kufanya vizuri kwenye mechi zote ambazo watacheza. Kwa sasa Simba inashiriki Kombe la Mapinduzi ambapo imetinga hatua ya robo fainali ikivunja rekodi yake mbovu ya kukwama kufika katika hatua hiyo 2023. Ni mchezo dhidi ya Jamhuri itakuwa…

Read More

MAJEMBE HAYA YANAKUJA SIMBA, YANGA

USAJILI wa dirisha dog unaendelea ambapo kila timu ipo sokoni kusaka wachezaji ambao inawahitaji kumalizana nao kwa ajili ya kuwa ndani ya timu kwa msimu wa 2023/24 ambao una ushindani mkali. Kama mambo yatakuwa sawa miongoni mwa nyota wanaotajwa kuibukia mitaa ya Kariakoo ni pamoja na Simon Msuva, Edwin Balua.

Read More

OKRA KAMILI GADO, KUANZIA HAPA

BAADA ya kupata maumivu kwenye mchezo wake wa kwanza akiwa na uzi wa Yanga, hali yake kwa sasa inaendelea vizuri kwa Augustine Okra akitarajiwa kuwa kwenye kikosi cha nusu fainali  ama fainali kama watafika lakini atakosekana leo Januari 7. Okra ambaye ni ingizo jipya alipata maumivu kwenye mchezo wake wa kwanza ilikuwa dhidi ya KVZ…

Read More

SIMBA YASHUSHA JEMBE JINGINE

RASMI Januari 6 2024 Simba imemtambulisha nyota mwingine mpya ambaye ni kiungo katika eneo la ukabaji. Nyota huyo ni kutoka Senegal anaitwa Babacar Sarr ametua ndani ya Simba ikiwa ni ingizo jipya katika dirisha dogo. Anakuwa nyota wa pili kutambulishwa baada ya kiungo Saleh Karabaka kutoka JKU kuwa wa kwanza kutambulishwa katika dirisha dogo ilikuwa…

Read More

ANZA MWAKA KIBABE PATA MAOKOTO LEO NA MERIDIANBET

Kupitia michuano ya kombe la FA nchini Uingereza leo maokoto yatakua nje nje kwani itakwenda kupigwa michezo mbalimbali itakayopigwa katika viwanja tofauti tofauti ambayo itatoa fursa ya kuokota na Meridianbet. Michezo yote ambayo itakwenda kupigwa leo imepewa ODDS KUBWA na za kibabe ambapo ni fursa kwa mteja wa Meridianbet kuweza kudungua mwaka wake kibabe kabisa….

Read More

WACHEZAJI MUHIMU KUCHEZA KWA UMAKINI

WAKATI uliopo kwa sasa kwa timu shiriki kwenye Kombe la Mapinduzi 2024 ni kuendelea kutimiza majukumu yao wanayopewa. Ipo wazi kwamba kila timu inapenda kupata matokeo ndani ya dakika 90. Hakuna ambaye anapenda kuona kwamba timu inakosa matokeo hivyo jambo la muhimu ni kufanya kazi kwa umakini kwenye mechi zote. Wachezaji ni muhimu kuongeza umakini…

Read More

ANAKUJA MSHAMBULIAJI HUYU WA KAZI YANGA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa utaratibu wao ni uleule kwenye kuleta wachezaji wapya na watafanya utambulisho wa tofauti. Inatajwa kuwa kwa sasa Yanga ipo kwenye hesabu za kumalizana na mchezaji kwenye nafasi ya ushambuliaji kwa ajili ya kuanza changamoto mpya ndani ya kikosi hicho ambacho kimetinga hatua ya robo fainali Mapinduzi 2024.

Read More

RATIBA YA KOMBE LA MAPINDUZI 2024

MLANDEGE ambao ni mabingwa watetezi wa Mapinduzi 2024 wameendelea kuwa kwenye zali baada ya kutinga hatua ya robo fainali. Kwa Simba, Yanga, Azam FC na Singida Fountain Gate nazo zmefanikiwa kutinga hatua hiyo ambapo kwa 2023 Simba iliaga mashindano mapema kabisa. Ratiba ipo namna hii:- KVZ FC Vs Mlandege FC, Januari 7, saa 10:15 jioni…

Read More

AZAM YAACHANA NA MSHAMBULIAJI IDRIS MBOMBO

Klabu ya Azam FC imetangaza kuachana na mshambuliaji Idris Mbombo (27) raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Taarifa ya Azam FC kwenye mitandao ya kijamii imesema “Thank You Idris Mbombo”. Mbombo alijiunga na Azam FC mnamo Julai 31 2021 akitokea El Gouna FC ya Misri. Tetesi zinadai Mkongomani huyo amejiunga na klabu ya Nkana…

Read More

MBWA ATAFUNA DOLA 4000 ZA MMILIKI WAKE

Cecil, mbwa kutoka Pennsylvania, amekuwa maarufu baada ya kutafuna bahasha ya pesa ambayo wamiliki wake walikuwa wametenga kwa ajili ya kumlipa mkandarasi. Mapema Desemba, Clayton Law aliweka bahasha iliyokuwa na $4,000 kwenye kabati lake jikoni kwake huko Pittsburgh, Pennsylvania. Yeye na mke wake, Carrie, walihitaji kumlipa mkandarasi wao pesa taslimu kwa ajili ya kuweka uzio….

Read More