Ingia Meridianbet Usuke Mkeka Wako Leo

  Kupiga maokoto ni rahisi sana endapo utabashiri na meridianbet leo hii, mechi zipo kibao sana kuanzia hizi za AFCON na zingine kibao. Ndoto yako inaweza kutimia leo hii ukituliza kichwa chako vizuri. Nigeria leo hii watakuwa wakimenyana dhidi ya Guinea Bissau huku timu zote zote zikihitaji ushindi wa maana ili kujiweka kwenye nafasi nzuri…

Read More

WAKATI UNAKUJA KULINDANA UWANJANI MUHIMU

MUDA uliopo kwa sasa katika mapumziko ni kufanya kazi kubwa kwa ajili ya kupata matokeo kwenye mechi zijazo huku kila mchezaji akifanya tathimini ya kile ambacho alikifanya uwanjani. Bado vita ni kubwa kwenye upande wa timu ambazo zinasaka ushindi hilo lipo wazi na litaendelea kuwa hivyo pale ligi itakaporejea kwa mara nyingine tena. Licha ya…

Read More

VITA YA GAMONDI YANGA IPO HAPA

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga hesabu zake kubwa kwa sasa ni kufanya vizuri kwenye mashindano makubwa matatu ambayo wanashiriki baada ya Mapinduzi 2024 kugota mwisho. Ipo wazi kuwa Yanga iligotea hatua ya robo fainali Mapinduzi 2024 ubingwa ukibaki kwa mara nyingine mbele ya Mlandege waliupata ushindi wa bao 1-0 Simba kwenye mchezo wa fainali…

Read More

BEKI HUYU BADO YUPO SANA YANGA

BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi bado yupo ndani ya kikosi hicho baada ya kuongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia timu hiyo. Beki huyo wa kupanda na kushuka alikuwa nje kwa muda baada ya kupata maumivu kwenye mchezo dhidi ya Al Ahly ya Misri lakini kwa sasa tayari…

Read More