>

AFCON IWE NJIA YA KUTUSUA KIMATAIFA, KAZI IFANYIKE

KADRI kila siku zinavyozidi kwenda wachezaji wanatambua namna ushindani ulivyo mkubwa kwenye mashindano husika. Ipo wazi kwa namna ambavyo mashindano yanazidi kuendelea hapo ndipo ugumu wake unaongezeka. Hatua moja inaleta hatua nyingine ambacho kinatakiwa kufanyika ni kwa kila hatua kuwa na mipango makini ambayo italeta matokeo mazuri hapo kesho. Ipo wazi kwamba ambacho kipo mbele…

Read More

HAPPY NEW YEAR 2024

UKURASA mwingine tena unafunguliwa baada ya 2023 kugota mwisho na sasa ni 2024 ambapo mapambano yanaendelea kwenye kila idara ikiwa ni pamoja na ulimwengu wa mpira. Happy New Year 2024 na mastaa waliofanya kazi kubwa kwenye kusaka rekodi namna hii:-

Read More

UANZE MWAKA WAKO KIBINGWA NA MERIDIANBET

Una nafasi kubwa ya kuanza mwaka wako kibingwa na mabingwa wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet, Kwani kupitia michezo mbalimbali ambayo itapigwa leo wewe mteja wao una nafasi kuufungua mwaka kwa shangwe. Kunako ligi kuu ya Hispania leo itapigwa michezo kadhaa ambayo imepewa ODDS KUBWA na za kibabe pale Meridianbet, Hivo mabingwa hao wa…

Read More

AMELETA MGOMO HUKO KIUNGO LUIS

KIUNGO wa Simba Luis ambaye kiwango chake kimeporomoka kutokana na kutocheza kwa muda mrefu inaelezwa kuwa yupo kwenye mpango wa kuwekwa kando. Inatajwa kwamba Simba mpango wao ni kumtoa kwa mkopo kwenye moja ya timu ambazo zinashiriki Ligi Kuu Bara

Read More