TWAHA KIDUKU AFANYA KWELI

BONDIA Twaha Kiduku amechapa Lago Kiziria kutoka Georgia kwa pointi na kufanikiwa kutetea taji lake la UBO huku akishinda taji jipya la PST hapa katika Ukumbi wa Tanzanite, Morogoro. Baada ya ushindi huo Twaha ambaye ni mzawa ameweka wazi kuwa furaha ya ushindi ni kubwa na hatarudi nyuma kwa kuwa anahitaji kufanya vizuri zaidi. “Wamezoea…

Read More

SIMBA YAIBUKA NA USHINDI DHIDI YA WYDAD

KIWA Uwanja wa Mkapà klabu ya Simba imepata ushindi wa bao 1-0 Wydad Casablanca. Huu ni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya robo fainali na bao limefungwa na Jean Baleke dakika ya 30. Licha ya kuwa na mabadiliko katika kikosi cha kwanza akianza Ally Salim langoni bado walikuwa na kushinda mchezo huo. Baleke…

Read More

POLISI TANZANIA YAPANDA NAFASI MOJA

USHINDI ambao wameupata Polisi Tanzania kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ihefu umewaondoa kutoka nafasi ya 16 mpaka 15. Katika mchezo uliochezwa Aprili 21 baada ya dakika 90 ubao ulisoma Polisi Tanzania 2-1 Ihefu. Mabao ya Ihefu yalifungwa na Kelvin Sabato huku lile la Ihefu likifungwa na Adam Adam. Ushindi huo unaifanya Polisi…

Read More

SIMBA 1-0 WYDAD CASABLANCA

UBAO wa Uwanja wa Mkapa unasoma Simba 1-0 Wydad Casablanca ikiwa ni hatua ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Bao la kuongoza limefungwa na mshambuliaji Jean Baleke akiwa ndani ya 18 dakika ya 30. Dakika 45 za mwanzo Simba imepata umiliki wa asilimia 55 huku Wydad wakiwa na umiliki wa asilimia 45. Ushindani ni mkubwa huku…

Read More

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA WYDAD CASABLANCA

IKIWA ni mchezo wa hatua ya robo fainali ni Ally Salim ameanza langoni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya robo fainali dhidi ya Wydad Casablanca. Shomari Kapombe, Henock Inonga,Joash Onyango na Mohamed Hussein hawa upande wa ulinzi. Mzamiru Yassin na Sadio Kanoute hawa upande wa viungo wakabaji. Kibu Dennis, Saidi Ntibanzokiza na Clatous…

Read More

KIMATAIFA HAKUNA MWENYE KAZI NYEPESI,KUJITUMA MUHIMU

SIO Simba wala Yanga kwenye anga za kimataifa hakuna mwenye kazi nyepesi kutokana na mechi zao wote kuwa ngumu katika hatua ya robo fainali. Kwa mashabiki wakati huu lazima kuungana na kufanya kazi moja kushangalia timu zao huku wachezaji nao akili zao zikiwa kwenye mechi uwanjani. Kwenye hatua za robo fainali ambacho kinaangaliwa ni ushindi mechi zote…

Read More

MICHEZO Ligi Mbalimbali Za Kukupatia Pesa Wikendi Hii Unaanzaje Wikendi Yako?

Ligi mbalimbali Duniani kuendelea wikendi hii huku kila timu ikihitaji kusaka pointi 3 muhimu ili kusalia kwenye ligi, wengine wakipambania Ubingwa na wengine wakipambani kusalia kwenye ligi. EPL, Bundesliga, NBC, Serie A, Laliga Ligue 1 hizo ni zile kubwa duniani lakini pia kuna zingine kutoka nchini mbalimbali zitapigwa. Ligi ya Ufaransa Ligue 1 itaendelea wikendi…

Read More

SIMBA WAPANIA KUFANYA KWELI KWA MKAPA

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na MawasilianoSimba amesema wataushangaza ulimwengu kwa kuwapelekea moto wapinzani wao Wydad Casablanca kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira inatarajiwa kusaka ushindi kwenye mchezo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.  Ally amesema kuwa wamekuwa na muda mzuri kufanya maandalizi kwa mchezo…

Read More

CHEZA MERIDIANBET KASINO USHINDE TSH 2,500,000/=

Shindano hili linakuletea furaha na zawadi bomba kutoka kwa Mascot na Meridianbet kasino ya mtandaoni! Shindano la Spring Mascot linafanyika kuanzia tarehe 21 hadi 27 Aprili kupitia kasino ya mtandaoni ambapo litakupa sababu halisi ya kwa nini Spring ni msimu mzuri zaidi. Furahia michezo iliyochaguliwa na shindania mgao wako wa TZS 2,500,000. JUMLA YA ALAMA…

Read More

SEVILLA HAO NUSU FAINALI

KLABU ya Sevilla imetinga hatua ya nusu fainali Europa League kwa jumla ya ushindi wa mabao 5-2 Manchester United. Katika mchezo wa robo fainali wa pili wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Manchester United uliochezwa Aprili 20. Mabao ya Sevilla yalifungwa na Youssef En Nesyri ambaye alipachika mawili dakika ya 8,81 na moja…

Read More

CITY YATINGA NUSU FAINALI UEFA

MANCHESTER City inatinga hatua ya nusu fainali UEFA Champions League kwa jumla ya ushindi wa mabao 1-4. Katika mchezo wa robo fainali uliochezwa Allianz Arena ubao ulisoma Bayern Munich 1-1 City. City ilianza kupata ushindi kupitia kwa Erling Haaland dakika ya 57. Ni Joshua Kimmich dakika ya 83 alipachika bao katika mchezo huo kwa pigo…

Read More