CHUMA KIPYA YANGA HIKI HAPA, SIKU YA MKUDE KUAGWA
CHUMA kipya Yanga hiki hapa, Simba yataja siku ya kumuaga Jonas Mkude ndani ya Spoti Xtra Jumanne
CHUMA kipya Yanga hiki hapa, Simba yataja siku ya kumuaga Jonas Mkude ndani ya Spoti Xtra Jumanne
IMEKUWA ikitajwa kuwa mabosi wa Azam FC wapo kwenye mpango wa kuinasa saini ya Bernard Morrison. BM aliyekuwa kiungo wa Yanga raia wa Ghana kwa sasa yupo huru jambo lililowafanya viongozi wa klabu hiyo kuibuka na kuweka wazi kuwa nyota huyo hayuko kwenye mipango yao. Morrison alitangazwa kutokuwa kwenye mipango ya Yanga kwa msimu ujao…
STRAIKA Romelu Lukaku amegomea kujiunga na klabu za Saudi Arabia ambazo zimekuwa zikimwaga fedha nyingi kwa ajil ya kuzinasa saini za mastaa mbalimbali wa Ulaya. Lukaku ameongeza kuwa anataka kuendelea kubakia Ulaya kwa kuichezea timu ya Inter Milan ambayo yupo kwa mkopo akitokea Chelsea ambayo ilimsajili kutokea klabuni hapo. Klabu za Saudi Arabia zilikuwa zinamtaka…
AMEANDIKA Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba kuhusu Jonas Mkude ambaye hatakuwa katika kikosi hicho kwa msimu wa 2023/24 namna hii:- Ameondoka mtu tunaempenda kweli, ameondoka mtoto wetu, mtoto wa nyumbani kwetu. Kwa miaka ya hivi karibuni hakuna mchezaji tumewahi kumpenda kama Jonas Mkude na tutaendelea kumpenda. Wakati Simba ina njaa,…
WAITI mapesa wa Yanga afungukia usajili wa Manzoki Simba pamoja na usajili wa Aucho, Mayele
MSHAMBULIAJI wa Yanga Mkongomani Fiston Mayele ameibuka na kutamka kuwa tuzo tano alizozishinda msimu uliopita wa 2022/23 zimethibitisha ubora wake, huku akiwashukuru viongozi, wachezaji na mashabiki wa timu hiyo. Mshambuliaji huyo wa Yanga yupo Dar kwa sasa baada ya kuwa DR Congo alipokwenda katika majukumu ya timu ya taifa hilo, alikuwa kwenye kikosi kilichocheza dhidi…
MUARGENTINA aanza na nyundo 5 Yanga SC, winga wa mabao ajipeleka Simba ndani ya Championi Jumatatu
MARA baada ya kutangazwa rasmi kutokuwa sehemu ya Simba kwa msimu ujao, aliyekuwa kiungo wa timu hiyo, Jonas Mkude amefunguka kuwa anawashukuru Simba kwa sapoti waliyompa katika kipindi chote cha maisha yake na kuwatakia kila la kheri. Mkude alitangazwa rasmi kutokuwa sehemu ya kikosi cha Simba kwa msimu ujao juzi Alhamisi baada ya kumaliza mkataba…
Rais wa Yanga Eng. Hersi Said ameweka wazi kuwa Yanga imetengeneza zaidi ya bilioni 7 kutokana na wadhamini mbalimbali pamoja na kuiheshimisha Tanzania kimataifa. Ni Juni 24 kwenye mkutano wa Wanachama wa Yanga aliweka wazi hayo kuhusu mafanikio ambayo wamefikia pamoja na muonekano wa uwanja mpya wa Yanga utakavyokuwa. Hiyo ni kwa msimu wa 2022/23…
MKUDE afunguka kuibukia Yanga, kocha mpya Yanga atoa kauli nzito ndani ya Spoti Xtra Jumapili
KAZI imeanza ndani ya Singida Fountain Gate ambayo zamani ilikuwa inaitwa Singida Big Stars kwa kutambulisha nyota walioongeza mkataba pamoja na wale watakaosepa ndani ya timu hiyo. Timu hiyo ni mashuhuda Yanga wakisepa na ubingwa wa ligi huku wao wakigotea nafasi ya nne. Rasmi Juni 24 walifungua ukurasa wao mpya kwa kuanza kuwataarifu mashabiki kuhu…
LICHA ya mashabiki wa Mbeya City kujitokeza kwa wingi Uwanja wa Sokoine mambo yamekuwa magumu kwa timu hiyo kusalia ndani ya Ligi Kuu Bara. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Mbeya City 0-1 Mashujaa kutoka Kigoma wakipeta kwa ushindi wa jumla ya mabao 1-4. Katika mchezo wa kwanza uliochezwa Kigoma ubao ulisoma Mashujaa 3-1 Mbeya…
RASMI Miguel Angel Gamondi raia wa Argentina ametangazwa kuwa kocha mpya wa Yanga. Kocha huyo anachukua mikoba ya Nasreddine Nabi ambaye amefikia makubaliano ya kutongeza mkataba na timu hiyo. Nabi kwa misimu miwili aliyokuwa na kikosi cha Yanga ameiongoza kutwaa mataji mawili ya ligi mfululizo pamoja na kutinga hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho…
MASTAA wanne wameachwa mazima ndani ya kikosi cha Yanga kuelekea kwenye mpango kazi wa kuunda kikosi kipya kwa msimu wa 2023/24. Juni 23 beki Abdallah Shaibu, ‘Ninja’ anafikisha idadi ya nyota wanne ambao hawatakuwa kwenye kikosi hicho kilichotwaa ubingwa wa ligi msimu wa 2022/23. Taarifa rasmi kutoka Yanga imeeleza kuwa: “Tunamshukuru Abdallah Shaibu (Ninja) kwa…
NGOJANGOJA huumiza tumbo imekuwa hivyo na itabaki kuwa hivyo kwa kile ambacho kinapatikana ni lazima kugawana kwa haki bila upendeleo. Mawazo mazuri ambayo yanakusanywa ni muhimu kufanyiwa kazi hasa ukizingatia kila kitu ambacho kinafanyika kinaanzia kwenye mpango kazi wa fikra. Ipo hivi Wanachama wa Yanga wanatarajia kufanya mkutano mkuu ambao huo upo kwa mujibu wa…
GADIEL Michael beki wa kushoto wa kikosi cha Simba msimu wa 2022/23 mkataba wake umegota mwisho na mabosi wa timu hiyo wamempa mkono wa asante. Beki huyo mzawa aliibuka ndani ya Simba akitokea kikosi cha Yanga 2019/20 ambapo amedumu kwenye kikosi hicho kwa misimu mitatu. Yanga ni mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23…