YANGA KUANZA KUSHUSHA VYUMA VYA KAZI
ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga ameweka wazi kuwa tayai timu hiyo imeshakamilisha zoezi la usajili kwa ajili ya kusuka kikosi hicho. Yanga ni mabingwa wa ligi msimu wa 2022/23 baada ya kugotea nafasi ya kwanza na pointi 78 kibindoni. Timu hiyo ya Yanga imewapoteza wapinzani wao ikiwa ni pamoja na Simba iliyogotea nafasi ya…