SIMBA:BADO MASHINE NYINGINE ZINAKUJA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa wapinzani wao hawataamini macho yao kwa msimu mpya wa 2023/24 kutokana maandalizi wanayofanya. Roberto Oliveira amepewa jukumu la kuinoa timu hiyo iliyopishana na mataji yote msimu wa 2022/23 kuanzia Ngao ya Jamii, Ligi ya Mabingwa Afrika, Kombe la Mapinduzi, Azam Sports Federation na Ligi Kuu Bara yaliyokwenda Yanga. Maandalizi…

Read More

BEKI MPYA YANGA REKODI ZAKE ZIPO NAMNA HII

JULAI 11 Yanga imemtambulisha beki mpya Fred Gift ambaye anakuja kuongea nguvu katika kikosi hicho kilichotwaa ubingwa msim wa 2022/23. Mwamba huyo kutoka Uganda ni beki mwenye rekodi nzuri akiwa ndani ya uwanja hivyo ni suala la kusubiri kipi ataonyesha ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 akiwa na uzi wa Yanga.

Read More

VIDEO:KISUNGA ACHARUKA USAJILI WA SIMBA/BANDA/SAKHO

IKIWA ni wakati wa dirisha la usajili kwa timu zote Bongo Kisugu amefunguka kuhusu namna ya usajili unavyoendelea akimzungumzia Joash Onyango ambaye amekwenda Singida Fountain Gate. Onyango ni miongoni mwa mabeki bora ndani ya Simba lakini hatakuwa katika kikosi hicho na badala yake atakuwa ndani ya Singida Fountain Gate. Pia amezungumzia kuhusu usajili wa Fiston…

Read More

KOCHA MPYA YANGA, KAZE IMEISHA

KALBU ya Yanga imemtambulisha kocha msaidizi ambaye  ni Moussa Ndao raia wa Senegal. Anaungana na Miguel Angel Gamondi ambaye huyu ni mkuu kwenye benchi la ufundi ndani ya kikosi cha Yanga. Julai 11 Ndao alitambulishwa rasmi ndani ya Yànga ambao ni mabingwa watetezi. Anachukua mikoba ya Cedric Kaze ambaye alikuwa akifanya kazi na Nasreddine Nabi…

Read More

YANGA YATAMBULISHA JEMBE JIPYA

RASMI Julai 11 2023 Yanga imemtambulisha nyota mpya Gift Fred kutoka SC Villa ya Uganda kuwa mali yao. Nyota huyo tayari aliwaaga mashabiki na viongozi wa timu yake ya zamani kwa kuwaambia Thank You hivyo anakuja Bongo kwenye changamoto mpya. Yote haya ni maboresho ndani ya Yanga kwa ajili ya msimu mpya wa 2023/24 na…

Read More

SIMBA HAO NDANI YA UTURUKI

MSAFARA wa Simba unaonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira leo Julai 11 umeanza safari kueleka Uturuki. Ni maandalizi ya msimu mpya wa 2023/24 unaotarajiwa kuanza Agosti ambapo kwa msimu wa 2022/23 walipishana na ubingwa uliokwenda Yanga. Simba ina kazi ya kuanza kwenye hatua ya nusu fainali ya Ngao ya Jamii dhidi ya Singida Fountain Gate…

Read More

MWAMBA KASEKE BADO YUPO NDANI YA SINGIDA FOUNTAIN GATE

NYOTA Deus Kaseke ni miongoni mwa wale watakaokuwa kwenye kikosi cha Singida Fountain Gate kwa ajili maandalizi ya msimu wa 2023/24. Timu hiyo kambi yake itakuwa Arusha baada ya mpango wa kuelekea Tunisia kusitishwa. Kaseke ni Legend ndani ya timu hiyo kutokana na uwezo wake kwenye eneo la kiungo na aliibuka hapo akitokea Yanga. Mchezo…

Read More

AZAM FC NDANI TUNISIA

KIKOSI cha Azam FC kimewasili jijini Sousse, Tunisia kwa kambi ya wiki tatu ya maandalizi ya msimu mpya 2023/24. Miongoni mwa nyota ambao wapo kwenye msafara huo ni pamoja na Feisal Salum, Ayoub Lyanda, Idris Mbombo. Timu hiyo ilipitia Dubai kabla ya kuibukia Tunisia kwa maandalizi ya msimu mpya. Mchezo wa kwanza kwa Azam FC…

Read More

UMAKINI HAUKWEPI MUDA WA MAVUNO

MAVUNO yanaongeza tabasamu hasa kila kitu kinapokwenda sawa ila inapokuwa tofauti hakuna ambaye anapata furaha katika hilo. Wahusika ni wote kuanzia mabingwa wa ligi ambao ni Yanga nao wana jukumu la kuongeza umakini kwenye usajili pamoja na maandalizi ya msimu ujao. Singida Fountain Gate nao inawahusu bila kuwasahau Namungo mpaka Geita Gold. Maisha mapya ndani…

Read More

CHUMA KINGINE CHA KAZI NDANI YA SIMBA

KUTOKA Mtibwa Sugar inayotumia Uwanja wa Manungu kwa mechi za nyumbani amerejea ndani ya kikosi cha Simba beki wa kupanda na kushuka. Beki huyo ni shuhuda Yanga wakitwaa ubingwa wa ligi msimu wa 2022/23 huku Simba ikigotea nafasi ya pili. Mchezo wa kwanza kwa Simba utakuwa wa Ngao ya Jamii dhidi ya Singida Fountain Gate…

Read More

SportPesa YAIPA YANGA 405 MILIONI

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya SportPesa Tarimba Abbas amesema kuwa wanajivunia kuidhamini Klabu ya Yanga kwa kuwa imeitendea haki nembo yao na kufaya vizuri kwa msimu wa 2022/23. Yanga imetwaa mataji matatu Ngao ya Jamii, Ligi Kuu Bara inayodhaminiwa na NBC, Azam Sports Federation kwa ushindi dhidi ya Azam FC. Julai 10…

Read More

MASHINE MBILI ZA KAZI HIZI HAPA SIMBA

KUTOKA Morogoro izilipo safu za milima Uluguru mpaka Dar ulipo Uwanja wa Mkapa, Uhuru na Chamanzi na mingine yote unayoitambua mwamba Shomari Kapombe bado yupoyupo. Ni dili la miaka miwili ameongeza ndani ya kikosi cha Simba hivyo atakuwepo mpaka 2025. Kapombe ni namba moja kwa mabeki wenye pasi nyingi ambazo ni 8 kwa msimu wa…

Read More