SIMBA:BADO MASHINE NYINGINE ZINAKUJA
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa wapinzani wao hawataamini macho yao kwa msimu mpya wa 2023/24 kutokana maandalizi wanayofanya. Roberto Oliveira amepewa jukumu la kuinoa timu hiyo iliyopishana na mataji yote msimu wa 2022/23 kuanzia Ngao ya Jamii, Ligi ya Mabingwa Afrika, Kombe la Mapinduzi, Azam Sports Federation na Ligi Kuu Bara yaliyokwenda Yanga. Maandalizi…