YANGA WATINGA FAINALI NGAO YA JAMII TANGA

KIKOSI cha Yanga kimeibuka na ushindi wa mabao 2-0 Azam FC katika mchezo wa Ngao ya Jamii nusu fainali ya kwanza. Yanga inakuwa timu ya kwanza kutinga hatua ya fainali ya Ngao ya Jamii ikiwa ni mara ya kwanza kuanza kushirikisha timu nne. Pia ni mchezo wa kwanza kwa Gamondi kwenye mechi za ushindani baada…

Read More

YANGA 0-0 AZAM FC NUSU FAINALI NGAO YA JAMII

MIAMBA wawili ndani ya nusu fainali ya kwanza katika dakika 45 za mwanzo imetoshana nguvu mchezo wa Ngao ya Jamii. Ubao wa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga unasoma Yanga 0-0 Azam FC. Katika dakika 45 za mwanzo nguvu na faulo kwa timu zote za Yanga na Azam FC zimetoshana ambapo kila timu imecheza jumla ya faulo…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA YANGA, AZIZ KI AANZIA BENCHI

MIGUEL Gamondi Kocha Mkuu wa Yanga ikiwa ni kete yake ya kwanza katika mchezo wa Ngao ya Jamii hatua ya nusu fainali ya kwanza. Kikosi cha kwanza kwa Yanga kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkwakwani Tanga ni pamoja na Diarra, Yao, Lomalisa, Mwamnyeto ambaye ni nahodha. Pia yupo Bacca, Aucho, Max, Mudhathir, Musonda, Farid…

Read More

HESABU ZA KOCHA SIMBA ZIPO NAMNA HII

ROBERTO Oliveira, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa anataka rekodi mpya kwa wachezaji hao kupata matokeo mapema kwenye mechi zaoili kuongeza hali ya kujiamini. Simba kwa sasa ipo Tanga ikiungana na timu nyingine ambazo ni Singida Fountain Gate, Yanga na Azam FC zitakazoshiriki Ngao ya Jamii. Oliveira anakibarua cha kuiongoza Simba kwenye mchezo dhidi ya…

Read More

YANGA WAPANIA KUVUNJA REKODI

WAKIWA wameandika rekodi ya kutwaa mataji matatu msimu wa 2022/23 Yanga wameweka wazi kuwa wanajipanga kuvunja rekodi hiyo. Ni Ngao ya Jamii Yanga walitwaa kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Simba, walitwaa ligi na Azam Sports Federation kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa fainali, Uwanja wa Mkwakwani, Tanga….

Read More

KILA IDARA MABADILIKO NI MUHIMU

KILA mchezaji anapenda kupata matokeo mazuri kwa ajili ya timu yake ipo hivyo. Sio Yanga, Singida Fountain Gate mpaka Kagera Sugar. Hata Namungo pia wanafanya maandalizi kwa ajili ya kuona wanapata kile kilicho bora uwanjani. Kila shabiki anapenda kuona timu yake inapata matokeo mazuri baada ya dakika 90. Kwa namna yoyote kinachotakiwa kwa wakati huu…

Read More

SINGIDA FOUNTAIN GATE WAJA NA MKWARA HUU

UONGOZI wa Singida Fountain Gate umesema kichapo cha bao 1-0 ilichokipata kutoka Coastal Union juzi ukiwa ni mchezo wa kirafiki hakuwazuii kufanya vyema dhidi ya Simba kesho Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Huo ulikuwa ni mchezo wa kirafiki kwa timu hiyo ambayo imewasili Tanga kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya Ngao ya Jamii inayotarajiwa kuanza…

Read More

HII HAPA REKODI YA SIMBA MPYA

SIMBA mapema tu ilikamilisha lengo la kuandika rekodi mpya ikiwapoteza watani zao wa jadi Yanga katika tamasha lao. Simba ilikuwa ni Agosti 6 2023 iliandika rekodi hiyo kwenye tamasha la Simba Day ikiwa ni tamasha lililokusanya mashabiki wengi nje na ndani ya uwanja. Kutokana na jambo hilo Simba inayonolewa na Kocha Muu, Roberto Oliveira ilikamilisha…

Read More

MUHIMU KULINDANA KWA WACHEZAJI HIVYO TU BASI

MUDA mrefu ambao wachezaji wameutumia kwenye maandalizi ya msimu mpya sasa unakwenda kuonyesha matokeo yake uwanjani. Ni Ngao ya Jamii inatarajiwa kufanyika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga kwa timu nne kushiriki kuanzia hatua ya nusu fainali ya kwanza ambapo Yanga, Azam FC, Singida Fountain Gate na Simba hizi ni timu shiriki. Mchezo wa nusu fainali ya…

Read More

LEGEND MKUDE DAKIKA MOJA KAAGWA SIMBA

LEGEND Jonas Mkude ameaagwa na mabosi zake wa Simba kwa muda wa dakika moja baada ya kujiunga na Yanga. Mkude ni ingizo jipya ndani ya Yanga akiungana na viungo wengine ikiwa ni Aziz KI, Zawad Mauya ambao walikuwa katika kikosi cha Yanga kilichotwaa ubingwa msimu wa 2022/23. Ikumbukwe kwamba Mkude alidumu ndani ya Simba kwa…

Read More

WATANI WA JADI KUKIWASHA MAPEMA TU LIGI KUU BARA

LEO Agosti 7 Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kupitia Afisa Mtendaji Mkuu, Almasi Kasongo, imetangaza ratiba ya msimu mpya wa 2023/24. Katika ratiba hiyo inayotarajiwa kuanza Agosti 15 2023 mchezo wa kwanza wa kufungua pazia utachezwa Uwanja wa Highland Estate, Mbeya. Ihefu wao watakuwa nyumbani wakiikaribisha Geita Gold inayonolewa na Kocha Mkuu, Hemed Morocco….

Read More

SIMBA YAIBUKA NA ISHU YA SUMU KISA HIKI HAPA

KUTOKANA na usajili waliofanya na ubora wa kikosi kwa msimu wa 2023/24, mashabiki wa Simba wameomba kupewa sumu ikiwa tu timu hiyo haitatinga hatua ya nusu fainali Ligi ya Mabingwa Afrika. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2022/23 watani zao wa jadi Yanga walitinga hatua ya fainali katika Kombe la Shirikisho Afrika. Pia mgeni rasmi, Rais Samia…

Read More