Home Sports YANGA 0-0 AZAM FC NUSU FAINALI NGAO YA JAMII

YANGA 0-0 AZAM FC NUSU FAINALI NGAO YA JAMII

MIAMBA wawili ndani ya nusu fainali ya kwanza katika dakika 45 za mwanzo imetoshana nguvu mchezo wa Ngao ya Jamii.

Ubao wa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga unasoma Yanga 0-0 Azam FC.

Katika dakika 45 za mwanzo nguvu na faulo kwa timu zote za Yanga na Azam FC zimetoshana ambapo kila timu imecheza jumla ya faulo 9.

Kiungo wa Azam FC ambaye ni ingizo jipya hapo akitokea ndani ya Yanga ni nyota wa kwanza kuonyeshwa kadi ya njano kwenye mchezo huo baada ya kumchezea faulo Mudathir Yahya.

Previous articleHIKI HAPA KIKOSI CHA YANGA, AZIZ KI AANZIA BENCHI
Next articleYANGA WATINGA FAINALI NGAO YA JAMII TANGA