JEMBE AWEKA REKODI HII FIFA

MHARITI Mtendaji wa Group Group, Saleh Ally, maarufu kama Salehjembe, ameandika rekodi nchini ya kuwa mwandishi wa kwanza kupiga kura mara nne mfululizo katika tuzo za The Best FIFA Football Award. Hali hiyo inaoonyesha uaminifu mkubwa kutoka Fifa yenye makao yake makuu nchini Uswiss. Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), limemchagua kwa mara nyingine tena…

Read More

GAMONDI: TUTAWAFURAHISHA CAF NA KUPATA USHINDI

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuwatambua wapinzani wao katika hatua ya makundi watacheza kwa kutafuta ushindi na kuwafurahisha mashabiki. Makundi CAF yalipangwa Oktoba 6 Afrika Kusini na Yanga ikipangwa kundi D ikiwa na timu za Al Ahly ambao ni mabingwa watetezi, CR Belouizdad ya Algeria,…

Read More

KAZI KIMATAIFA NI KUBWA MIPANGO MUHIMU

BAADA ya makundi kupangwa kwa sasa ni muda wa kuanza kufanya maandalizi kwa ajili ya kupata matokeo chanya kwenye mechi za ushindani. Katika Ligi ya Mabingwa Afrika hakuna kubeba matokeo mfukoni wala kuamini kwamba uzoefu utawabeba katika kupata ushindi hilo halipo. Kuanza kubeba matokeo wakati huu na kujipeleka hatua ya robo fainali anguko linakuja. Hakuna…

Read More

PIRA PAPATUPATU LAKOMBA POINTI UGENINI

KUTOKANA na mashabiki wa Simba kueleza kuwa mpira unaochezwa kwa sasa chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira ni mwendo wa papatupapatu, hivyo zimejibu na kupata ushindi ugenini. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Liti umesoma Singida Fountain Gate 1-2 Simba. Bao la Saido Ntibanzokoza dakika ya 26 lilikuwa la mipango na bao la…

Read More

MKWANJA WA MAMA MIKONONI MWA TIMU YA TAIFA

KATIBU Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Gerson Msigwa ameikabidhi timu ya Twiga Stars kitita cha Sh. Milioni 10 zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Samia Suluhu Hassan. Hiyo ni kufuatia ushindi waliopata dhidi ya timu ya Ivory Coast uliowawezesha kufuzu michuano ya WAFCON 2024. Akikabidhi fedha hizo, Katibu Mkuu Msigwa…

Read More

SINGIDA FOUNTAIN GATE 1-12SIMBA

UBAO wa Uwanja wa Liti umesoma Singida Fountain Gate 1-2 Simba ikiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara. Bao la uongozi kwa Simba limepachikwa na Saido Ntibanzokiza dakika ya 26 lililomshinda Beno Kakolanya. Ni pasi ya Kibu Dennis ambaye amekuwa kwenye dakika 45 bora za kipindi cha kwanza ugenini. Deus Kaseke ni yeye aliweka usawa…

Read More

SIMBA MIKONONI MWA SINGINDA FG NA MSAKO WA REKODI

KOCHA Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira amesema kuwa wanahitaji kuendelea na rekodi zao za kupata matokeo kwenye mechi za ligi ikiwa ni pamoja na mchezo dhidi ya Singida Fountain Gate. Leo Simba inatarajiwa kushuka kwenye msako wa pointi tatu dhidi ya Singida Fountain Gate kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Liti. Huu utakuwa ni mchezo…

Read More

YANGA: LIGI BADO MBICHI KABISA

UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa bado ligi ni mbichi wana muda wa kuendelea kupambana katika kutimiza malengo yao ya kutwaa ubingwa. Ikumbukwe kwamba Yanga ni mabingwa watetezi wa taji la ligi baada ya kutwaa msimu wa 2022/23. Ipo chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Gamondi baada ya kukiongoza kikosi hicho kwenye mechi tano ni shuhuda…

Read More

GEITA GOLD WAPOTEZA MBELE YA YANGA

GEITA Gold wamepishana na pointi tatu kwa mara nyingine kwenye mchezo wa pili mfululizo baada ya kupoteza mbele ya Yanga. Mchezo uliopita Geita Gold ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Nyankumbu ukisoma Geita Gold 1-2 KMC. Baada ya dakika 90 kwenye mchezo wa leo Oktoba 7 ubao wa Uwanja wa Kirumba umesoma Geita Gold 0-3 Yanga….

Read More

NGOMA NYINGINE KWA MTIBWA SUGAR HII HAPA

KETE inayofuata kwa Mtibwa Sugar kwenye Ligi Kuu Bara ni dhidi ya Tanzania Prisons. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Sokoine ikiwa ni mzunguko wa kwanza. Ikumbukwe kwamba Mtibwa Sugar yenye Yassin Mustapha imetoka kupoteza kwenye mchezo uliopita dhidi ya Singida Fountain Gate. Tanzania Prisons nao wametoka kupoteza mchezo wao dhidi ya Simba walipokuwa nyumbani.

Read More

CCM KIRUMBA: GEITA GOLD 0-3 YANGA

UWANJA wa CCM Kirumba ubao unasoma Geita Gold 0- 3 Yanga ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara. Ni dakika ya 44 Pacome Zouzoa alianza kupachika bao na lile la pili ni mali ya Aziz KI dakika ya 45. Mpaka mapumziko  kwenye mchezo huo wa mpira uliokuwa na ushindani mkubwa Yanga walikuwa wanashambulia kwa kasi…

Read More

FULL MKOKO WA GAMONDI KUSAKA POINTI TATU ZA GEITA

MIGUE Gamondi kwenye mchezo wa leo dhidi ya Geita Gold ameanzisha kikosi kazi kamili kusaka pointi tatu mbele ya Geita Gold. Kwenye mchezo wa nne, ubao wa Uwanja wa Highland Estate ulisoma Ihefu 2-1 Yanga ukiwa ni mchezo wa kwanza kwa Yanga kupoteza msimu wa 2023/24. Kulikuwa na mabadiliko kikosi cha kwanza ambapo wachezaji waliopewa…

Read More

WAAMUZI HAKI MUHIMU KUZINGATIA KWENYE MAAMUZI

TARATIBU dawa inazidi kuingia kwenye kidonda ambacho kinaendelea kupona. Licha ya kuendelea kwa maumivu ambayo mgonjwa anapata bado inatakiwa umakini kwenye uangalizi. Ni mzunguko wa kwanza wenye ushindani mkubwa kwa kila timu kuonyesha shauku ya kupata ushindi. Ipo wazi kwamba hakuna anayependa kupoteza mchezo na kasi inaonekana. Kwa namna kasi ilivyo basi ni muhimu kwa…

Read More

PARIMATCH YAADHIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA KIBABE

Kampuni ya michezo ya kubahatisha Parimatch imeunganana na watoa huduma ulimwenguni kote kusherehekea Wiki ya Huduma kwa Wateja huku ikiahidi kuendelea kutoa huduma bora zaidi na zenye ubunifu kwa wateja wake ili kuongeza burudani pindi wanaposuka mikeka yao kwenye tovuti na App. Akitoa salamu za heri kwa wateja na wafanyakazi wa kampuni hiyo jijini Dar…

Read More

GAMONDI ATAJA KINACHOWAUMIZA YANGA

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema miongoni mwa sababu zikizowafanya wakapoteza dhidi ya Ihefu ni Uwanja wa Highland Estate ambao haukuwa katika viwango. Mateso ya kupoteza pointi tatu walikumbana nayo wachezaji na benchi la ufundi ugenini mara ya Kwanza msimu wa 2023/24. Kocha huyo ameweka wazi kuwa wachezaji walikwama kutulia uwanjani na kucheza mpira…

Read More