LILE BEKI LA KAZI YANGA HILI HAPA

YANGA ipo kwenye hatua za mwisho kukamilisha dili la beki wa kati kutoka Mali ili kujiunga na timu hiyo kwenye dirisha hili dogo. Ni beki wa kati raia wa Mali Mamhadou Doumbia umri wake ni miaka 27. Doumbia moja kati ya mabeki bora ambao wamekuwa wakiitwa katika kikosi cha Mali kinachoshiriki mashindano ya CHAN akiwa…

Read More

CHUMA KIPYA CHATAMBULISHWA IHEFU FC

ADAM Adam nyota wa zamani wa kikosi cha JKT Tanzania kwa sasa atakuwa ni mali ya Klabu ya Ihefu. Nyota huyo anaibukia ndani ya Ihefu FC akitokea kikosi cha Mtibwa Sugar chenye maskani yake pale Morogoro. Leo Januari 11,2023 Ihefu wamemtambulisha rasmi mshambuliaji huyo. Ni moja ya washambuliaji wazawa wenye uwezo mkubwa uwanjani na alikuwa…

Read More

CHAMA NDANI YA SIMBA DUBAI

CLATOUS Chama mwamba wa Lusaka amejiunga na kikosi cha Simba kambini Dubai leo Januari 11,2023. Kiungo huyo hakuwa na timu hiyo kwenye msafara wa awali kutoka Dar kwenda Dubai kwa kuwa alikuwa nyumbani kwao Zambia. Timu hiyo ipo chini ya Kocha Mkuu, Robert Oliviera raia wa Brazil ambaye anashirikiana na Juma Mgunda ambaye ni mzawa….

Read More

YANGA:TUNASHUSHA BEKI WA KAZI NA MSHAMBULIAJI

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kwenye dirisha dogo la usajili wanashusha wachezaji wawili wa kazi kwa ajili ya timu hiyo kuboresha kikosi chao. Ni Nasreddine Nabi anakinoa kikosi hicho ambacho kinaongoza ligi kikiwa na pointi 50 kibindoni na mtupiaji wao namba moja ni Fiston Mayele mwenye maao 14. Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga…

Read More

MBWANA SAMATTA KUGOMBEA URAIS TFF

NAHODHA wa Taifa Stars na mshambuliaji wa KRC Genk anayecheza hapo kwa mkopo akitokea Fernebache ya Uturuki Mbwana Samatta amefunguka kuwa, siyo ajabu siku moja akwa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). Samatta aliyasema hayo wakati alipohojiana na Salama Jabir kwenye kipindi cha Salama Na, aliweka wazi kuwa yeye ana uchu wa mafanikio na…

Read More

BANDA ANAREJEA MDOGOMDOGO

NYOTA wa Simba, Peter Banda anaendelea na program maalumu itakayomrejesha kwenye ubora wake. Mchezaji huyo hajaonekana uwanjani kwenye mechi za Ligi Kuu Bara na ushindani kwa muda mrefu baada ya kupata maumivu. Ni kwenye mchezo dhidi ya Singida Big Stars alipata maumivu alipoingia akitokea benchi na alifunga bao moja. Ngoma ilikuwa nzito katika mchezo huo…

Read More

AZAM FC YAWEKA REKODI YAKE MAPINDUZI CUP 2023

AZAM FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Kali Ongala imeweka rekodi yake ndani ya Kombe la Mapinduzi 2023 kuwa timu iliyookota mabao mengi nyavuni kwenye mchezo mmoja kwa timu zilizo tatu bora bara. Ilikuwa dhidi ya Singida Big Stars kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali ambapo walipoteza kwa kufungwa mabao 4-1 na kuondolewa katika Kombe…

Read More

SINGIDA BIG STARS NI WAMOTO KWELIKWELI

NGOMA ni nzito lakini inapigika kwenye Kombe la Mapinduzi 2023 ambapo Singida Big Stars wanajambo lao kwenye kombe hilo wakiwa ni wamoto kweli. Ni timu ya kwanza kutinga hatua ya nusu fainali ikitokea bara na jambo lao ambalo waliweka wazi tangu awali ni kutwaa taji hilo, hapa tunakuletea namna ilivyo:- Kazad balaa tupu Mshambuliaji wao…

Read More