
YANGA WAPOKELEWA KIFALME, WAANZA MAZOEZI
YANGA wapokelewa kifalme, waanza mazoezi kwa ajili ya mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika, Tunisia
YANGA wapokelewa kifalme, waanza mazoezi kwa ajili ya mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika, Tunisia
Unapozungumzia starehe ya kubashiri mchezo huwezi kuwaacha Meridianbet wao ndio mabingwa wa hizi kazi, na kuthibitisha hili, wamezindua dula la kubashiri maeneo ya Kinondoni Mwanamboka. Fika sasa kubeti michezo yote imepewa ODDS kubwa na Machaguo Mengi. Kampuni namba moja ya michezo ya kubashiri mtandaoni Meridianbet wamezindua chimbo jipya la kubetia (duka la kubeti) maeneo ya…
NABI:Nimewaona, wamekwisha, Baleke aandaliwa kuwamaliza Horoya ndani ya Championi Ijumaa.
MSAFARA wa kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira umewasili Guinea kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Horoya. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Februari 12 siku ya Jumamosi ikiwa ni mchezo wa kwanza wa kundi C kwa timu hizo. Msako wa pointi tatu kwa wawakilishi wa…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa upo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Horoya unaotarajiwa kuchezwa Februari 11,2023. Mchezo huo ni wa hatua ya makundi ambapo ni msako wa pointi tatu muhimu kusaka nafasi ya kutinga hatua ya robo fainali. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na…
WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga za kimataifa katika Kombe la Shirikisho Afrika, Yanga hawana jambo dogo baada ya kuanza mazoezi kwa ajili ya mchezo huo. Msafara wa wachezaji 27 ulikwea pipa Februari 7 kwa ajili ya kuanza safari kuelekea Tunisia wakipitia Dubai ambapo kwenye msafara wao walikuwa wameongozana na madaktari wao pia. Madaktari wa Yanga…
Saleh Ally, Casablanca NOVEMBA mwaka jana wakati wa Fainali za Ligi ya Mabingwa ya Wanawake iliyofanyika nchini hapa, Rais wa Caf, Patrice Motsepe aliwakaribisha Morocco kuingia kuomba kuandaa mashindano ya Afcon mwaka 2025. Motsepe hakuwa na choyo katika maneno yake, alieleza wazi ambavyo amekuwa akivutiwa na Morocco inavyojipanga katika masuala kadhaa ya soka lakini pia…
WAARABU wanakufa mapema, mastaa Yanga watengewe bil.1.6, Simba yaweka mikakati mizito CAF ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa utapambana kupata matokeo kwenye mchezo wao dhidi ya Horoya ambayo ni wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Mchezo huo wa hatua ya makundi unatarajiwa kuchezwa Jumamosi hii ya Februari 11, 2023 nchini Guinea. Tayari kikosi cha Simba mapema alfajiri ya leo kilikwea pipa kuwafuata wapinzani wao kikiwa na wachezaji wake…
RAIS wa Yanga, Eng Hersi Said ameitembelea Klabu ya Royal FC inayoshiriki Ligi daraja la tatu kwenye Umoja wa Falme za Kiarabu. Mmoja wa wamiliki wa Royal FC, iliyoanzishwa mwaka huu, Ali Mohammed Bujsaim, miongoni mwa marefa wenye heshima kubwa duniani. Refa huyo ana rekodi ya kuchezesha Fainali za Kombe la Dunia mara tatu [1994,1998,2022]….
RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), Gianni Infantino akiwa na Mwenyekiti wa Bodi, Salim Muhene baada ya kushiriki moja ya vipindi vinavyoendelea kwenye kozi ya Diploma katika Uongozi wa Klabu inayotolewa na FIFA (Diploma in Club Management). Kozi hiyo inafanyika mjini Tangier, Morocco. Try Again ni mmoja wa wajumbe watatu kutoka Afrika…
MSIKIE Kichuya kona nyota anayekipiga ndani ya kikosi cha Namungo FC inayoshiriki Ligi Kuu Bara
Expanse Studios, mtengeneza programu anayekua kwa kasi zaidi katika michezo ya kasino mtandaoni ambayo mingi unaipata Meridianbet Kasino ya Mtandaoni, anafuraha kutangaza ushiriki wake ujao katika ICE London 2023. Expo inayoongoza duniani kwa michezo ya kubahatisha. Tukio la kihistoria, litafanyika kwanzia 7-9 Februari 2023 huko ExCeL London, eneo maalum la kuendesha mapato kupitia ufumbuzi wa…
UZINDUZI wa uzi mpya wa Simba wenye nembo ya Visit Tanzania amao utatumika kwenye mechi z kimataifa katika Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya Makundi
YANGA kama wafalme vile, Sakho arejesha shangwe kambini Simba, hello Jumatano wewe ni Championi usikose nakala yako ipo mezani leo Februari 8,2023