KIUNGO SIMBA AWATAKA RAJA CASABLANCA

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Mmalawi Peter Banda amewaondoa hofu mashabiki wa timu hiyo, kwa kuwaambia kuwa amepona na yupo fiti kucheza mchezo wa mwisho wa hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba itavaana dhidi ya Raja Casablanca saa 7:00 usiku wa kuamkia Jumamosi huko nchini Morocco katika mchezo wa marudiano unaotarajiwa kujaa upinzani…

Read More

MBRAZIL APITISHA PANGA KIMYA KIMYA SIMBA

KOCHA Mkuu wa Simba Mbrazil, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amepanga kuwapa nafasi wachezaji wote kwa lengo la kuangalia uwezo wa kila mmoja kabla ya kukabidhi ripoti ya kuwatema baadhi ya mastaa kuelekea msimu ujao. Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, imepanga kukifanyia maboresho makubwa kikosi hicho katika msimu ujao kwa kusajili wachezaji wapya na kuwaongezea mikataba wale…

Read More

VITA NI KUWA, CHAMPIONSHIP INAWAHITAJI

VITA ni kubwa kwelikweli kwenye Championship kutokana na kila timu kupambana kupata matokeo mazuri ili kufikia malengo ambayo wamejiwekea. Hili ni muhimu kufanyika kwakila timu kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa na kwa wale ambao wamekata tamaa bado muda upo wakuzinuduka kwa sasa. Kutokana na kila timu kuwa na mpango wa kupanda ligi kunaongeza ushindani na…

Read More

AZAM FC KAZI INAENDELEA

BAADA ya ushindi kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya KMC mpango kazi kwa Azam FC ni mchezo wao wa Azam Sports Federation hatua ya robo fainali. Timu hiyo iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya KMC kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex ilikuwa Machi 27. Kete yake inayofuata kwenye mechi za mashindano ni…

Read More

MESSI AFANYA KWELI ARGENTINA

TIMU ya taifa ya Argentina inayonolewa na Kocha Mkuu,Lionel Scaloni imeibuka na ushindi wa mabao 7-0 Curacao. Ni mchezo wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Unico Madre de Ciudades. Katika mchezo huo Lionel Messi ambaye ni nahodha alitupia kambani mabao matatu ilikuwa dakika ya 20,33,37. Nicolas Gonzalez dakika ya 23,Enzo Fernandez dakika ya 35,Angel Di Maria…

Read More

JESUS MOLOKO MIKONONI MWA MABOSI YANGA

MIONGONI mwa nyota ambao wanatajwa kuongezewa kandarasi ndani ya kikosi cha Yanga ni winga teleza Jesus Moloko. Nyota huyo mkataba wake unatarajiwa kugota mwisho mwa msimu huu jambo amalo limewafanya mabosi wa Yanga kuanza mazungumzo naye. Moloko inatajwa kuwa hakuongezewa mkataba kwa mpango kazi maalumu kisha wakamleta Tuisila Kisinda ambaye hajaonyesha ubora wake. “Moloko hakupewa…

Read More

STARS YAPOTEZA KWA MKAPA

JITIHADA za timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kusaka ushindi dhidi ya timu ya taifa ya Uganda zimegonga mwamba. Kwenye mchezo wa leo Machi 28,2023 uliochezwa Uwanja wa Mkapa baada ya dakika 90 ubao umesoma Tanzania 0-1 Uganda. Mchezo wa leo Stars ilikuwa kwenye umaliki mzuri huku nafasi chache zikitengenezwa kutoka kwa viungo pamoja…

Read More

MSAFARA WA SIMBA WAKWAMA KUWAFUATA RAJA

MSAFARA wa Simba ambao leo ulianza safari kueleke Morocco kupitia Qatar utaendelea na safari yake kesho Machi 29 2023 baada ya Ndege ambayo walianza nayo safari kupata hitilafu. Hivyo mpango wa kuendelea na safari leo kuelekea Morocco umekwama mpaka siku ya kesho mapema baada ya maboresho ya chombo hicho cha usafiri. Kwa mujibu wa Meneja…

Read More

AFCON 2023:TANZANIA 0-0 UGANDA

UWAJA wa Mkapa mchezo wa kuwania kufuzu Afcon 2023 Ivory Coast ngoma bado ni nzito kwa pande zote. Ubao unasoma Tanzania 0-0 Uganda ambapo kila timu inafanya mashambulizi kwa wapinzani kupata ushindi. Tanzania inamtumia Simon Msuva, Mbwana Samatta pamoja na Sopu kwenye upande wa ushambuliaji huku Uganda wakiwa na Emmanuel Okwi na Khalid Lwaliwa ambao…

Read More

SIMBA YAWAFUATA RAJA CASABLANCA

Kikosi cha Simba SC, kimeanza safari leo Machi 28 kuelekea nchini Morocco kuifuata Raja Casablanca kwenye mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa usiku wa kuamkia Aprili Mosi 2023 nchini Morocco. Msafara ambao unaondoka leo kupitia Qatar una jumla ya wachezaji 13 ikiwa ni pamoja na…

Read More

KOCHA YANGA OUT

UONGOZI wa Klabu ya Yanga umetangaza kufikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na kocha mkuu wa Yanga Princess, Sebastian Nkoma. Kwa mujibu wa taarifa ya klabu hiyo, kwa sasa kikosi hicho kitakuwa chini ya kocha Fredy Mbuna mpaka mwisho wa msimu. Kocha huyo aliibuka ndani ya kikosi hicho akitokea kuinoa Simba Queens…

Read More