MAYELE MTU WA KAZIKAZI, KAMBEBA SALIM

FISTON Mayele moja ya washambuliaji wenye akili na wanalijua lango dhidi ya Simba Aprili 16 anashikilia rekodi ya kupiga mashuti mengi yaliyolenga lango. Ni ubora wake kwenye kutafuta kufunga kumemfanya kipa wa Simba aonekane ni bora kutokana na kuwa makini kwenye kuokoa hatari hizo. Ingekuwa angekwama kuokoa hatari alizopigiwa na Mayele ingekuwa ni habari nyingine…

Read More

LALA SALAMA NI MUHIMU KUIKAMILISHA KWA HESABU

HAIWEZI kuwa kazi nyepesi kwa kuwa lazima mapambano yawe makubwa katika kufanya hilo jambo ambalo unalihitaji kwa wakati. Kila mmoja kwenye Ligi Kuu Bara kwa sasa anapambana kuweza kufikia malengo ambayo alianza nayo mwanzo wa msimu wa 2022/23 ambao unakaribia kugota mwisho. Hakika ni moja ya msimu wenye ushindani mkubwa na kila timu inafanya vizuri…

Read More

KAGERA SUGAR KUREJEA WAKIWA IMARA

MECKY Maxime, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar amesema kuwa waterejea kwenye mechi zilizobaki wakiwa imara kwa kupata matokeo chanya. Timu hiyo haina bahati dhidi ya Yanga msimu huu wa 2022/23 kwa kufungwa nje ndani mchezo wa kwanza ilitunguliwa bao 0-1 na ule mzunguko wa pili ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma Yanga 5-0 Kagera…

Read More

NADO NI MKALI AKITOKEA BENCHI

NYOTA wa Azam FC, Idd Suleiman, ‘Nado’ ni mkali wa kucheka na nyavu kwenye mechi za ligi akitokea benchi. Nyota huyo rekodi zinaonyesha kuwa ameanza kikosi cha kwanza mechi nne ilikuwa dhidi ya Ruvu Shooting,Dodoma Jiji,Mbeya City na KMC. Kwenye mchezo dhidi ya Coastal Union,Novemba 27,2022 ubao wa Azam Complex uliposoma Azam FC 3-2 Coastal…

Read More

ALLY SALIM BADO SANA KUWA BORA

ALLY Salim kipa namba tatu wa Simba mchezo wake wa kwanza akiwa langoni dhidi ya Yanga amefanikiwa kukamilisha dakika 90 bila kufungwa. Bado anajitafuta kutokana na makosa mengi ya kiufundi hasa kwenye kuokoa na kutema hapo ndipo panamfanya awe kwenye kazi ngumu ya kufanya. Ally amesababisha kona nne kwenye mchezo dhidi ya Yanga kutokana na…

Read More

SIMBA YAWATUNGUA YANGA KWA MKAPA

SIMBA imepata ushindi mbele ya Yanga kwenye mchezo wa Kariakoo ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara. Mabao ya Simba yamefungwa na Henock Inonga dakika ya kwanza na lile la pili Kibu Dennis dakika ya 33. Yanga wanapiga pasi nyingi kuliskama lango la Simba huku wakifanya majaribio kupitia kwa Fiston Mayele. Kipindi cha pili Yanga…

Read More

JULIO ATOA NENO LA MATUMAINI KMC

KOCHA Mkuu wa KMC,Jamhuri Khiwelu, ‘Julio’ amesema kuwa ana matumaini makubwa ya kuongeza ari kwenye mechi ambazo zimebaki. Julio amechukua mikoba ya Hitimana Thiery ambaye alifikia makubaliano ya kuvunja mkataba na timu hiyo kutokana na mwendo mbovu. Mchezo wa mwisho kwa Hitimana kukaa benchi alishuhudia ubao ukisoma KMC 0-2 Geita Gold. “KMC ni timu nzuri…

Read More

SIMBA 2-0 YANGA

MCHEZO wa Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Mkapa ni Kariakoo Dabi Ubao unasoma Simba 2-0 Yanga, goal limepachikwa na  Henock Inonga dakika ya kwanza na lile la pili Kibu Dennis kapachika dakika ya 33. Mwamuzi wa kati ni Jonesia Rukya ambaye anafanya kazi ya kutafsri sheria 17 za mpira na mashabiki wamejitokeza kwa wingi.

Read More

YANGA UKUTA CHUMA, SIMBA USHAMBULIAJI MATATA

WAKIWA wamecheza mechi 25 ambazo ni dakika 2,250 watani wa jadi Simba na Yanga kila mmoja kajijengea ufalme wake katika eneo lake maalumu. Leo Aprili 16,Uwanja wa Mkapa utashuhudia kila timu ikipambania ufalme wake kwenye upande wa ushambuliaji pamoja na ulinzi ndani ya dakika 90. Simba uimara wao upo kwenye safu ya ushambuliaji huku makali…

Read More