>

BALEKE, NTIBANZOKIZA KUKUTANA NA BALAA HILI SIMBA

MASTAA wa Simba kwenye upande wa ushambuliaji ikiwa ni Jean Baleke, John Bocco na viungo Saido Ntibanzokiza watakutana na balaa la Kocha Mkuu, Abdlehak Benchikha kutokana na kushindwa kuzitumia nafasi ambazo walizipata kwenye mechi dhidi ya KMC. Desemba 23 ikiwa ni mchezo wa mwisho kwa Simba ndani ya 2023 katika Ligi Kuu Bara walishuhudia ubao…

Read More

TIMU SITA ZENYE SAFU KALI YA USHAMBULIAJI BONGO

WAKATI mwingine tena umefika ikiwa ni maalumu kwa ajili ya kufungua zawadi kwa ndugu jamaa na marafiki kwa lugha ya kigeni ni Happy Boxing Day kwenye anga za michezo kuna wale waliotoa zawadi mapema kwa kufunga mabao mengi. Hapa tunakuletea timu sita ambazo zinasafu kali kwenye upande wa ushambuliaji namna hii:- Azam FC mabao 35…

Read More

WAKUSANYA MAPATO NAO SIO KINYONGE

WAKUSANYA mapato wa Kinondoni sio kinyonge ndani ya 2023 licha ya kuanza msimu kwa kuwa timu iliyotunguliwa mabao mengi ikiwa ugenini. Ipo wazi kwamba mchezo wa kwanza kwa timu kufungwa mabao mengi ilikuwa ni ule uliowakutanisha Yanga 5-0 KMC mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Inafunga 2023 ikiwa kwenye tano bora na mchezo wake uliopita…

Read More

WAGOSI WA KAYA WANAJISUKA UPYA

UONGOZI wa Coastal Unioni, umesema unaendelea kulitumia dirisha hili dogo la usajili kuboresha kikosi chao kwa kuzingatia ripoti ya Kocha Mkuu, David Ouma aliyoiwasilisha mapema kabla ya usajili kufunguliwa Desemba 16, mwaka huu. Ofisa Habari Coastal Union, Abbas El-Sabry, amesema ripoti ya kocha mkuu imeanza kufanyiwa kazi haraka kwa sababu hakuna muda wa kupoteza, huku…

Read More

BINGWA MAPINDUZI CUP KULAMBA MAMILIONI

KAMATI ya Kombe la Mapinduzi, imetangaza rasmi kwamba, bingwa wa michuano hiyo ataondoka na kitita cha shilingi milioni 100, huku mshindi wa pili kukabidhiwa shilingi milioni 70. Mashindano hayo ambayo yanatarajiwa kuanza Desemba 28, mwaka huu, yatashirikisha timu 12, huku msimu uliopita bingwa ambaye alikuwa Mlandege, aliondoka na shilingi milioni 50. Mwenyeketi wa Kamati ya…

Read More

ANASEPA SIMBA MTAMBO WA MAPIGO HURU NTIBANZOKIZA

TAARIFA zinaeleza kuwa mtaalamu wa mapigo huru ndani ya kikosi cha Simba Saido Ntibanzokiza anasepa katika kikosi hicho kwenda kupata changamoto mpya sehemu nyingine huku mabosi wa Simba wakiwa kwenye hesabu za kumvuta kiungo mwingine wa kazi. Nyota huyo amekuwa kwenye kiwango bora katika mechi zote anazopewa nafasi ya kuanza licha ya wengi kueleza kuwa…

Read More

LEO ZAWADI ZINAFUNGULIWA MERIDIANBET TU

Sikiliza ogopa matapeli sehemu ya kufungulia zawadi leo ipo moja tu na sio nyingine ni pale Meridianbet ambao michezo mbalimbali imesheheni na ikiwa imepewa ODDS KUBWA na za kibabe kabisa. Mabingwa hao wa michezo ya kubashiri wana kazi moja tu leo nayo ni kuhakikisha wateja wake wanafungua zawadi kwa shangwe katika siku ya Boxing day,…

Read More

ZANZIBAR HEROES V KILIMANJARO STARS KAZINI

KESHO Jumatano, Timu ya Taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, itacheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Timu ya Taifa ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars. Mchezo huo maalum kwa ajili ya ufunguzi wa Uwanja wa Amaan uliopo Unguja, Zanzibar, baada ya kufanyiwa maboresho makubwa. Katika kuelekea mchezo huo utakaochezwa saa 2 usiku, Kocha wa Kilimanjaro Stars, Adel…

Read More

HAPA NDIPO WANAPOFUNGIA AZAM FC

KLABU ya Azam FC inakwenda kufunga mwaka 2023 wakiwa ni namba moja kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Chini ya Kocha Mkuu Yusuph Dabo kikosi cha Azam FC kimekuwa kwenye mwendo wa dhahabu na kupata matokeo kwenye mechi walizokuwa wanacheza. Mchezo wake wa mwisho ndani ya 2023 walikomba pointi tatu ugenini ilikuwa ni Desemba…

Read More

BENCHIKHA AFUATA WINGA NIGERIA

INAELEZWA mabosi wa Simba wapo kwenye mazungumzo na winga wa klabu ya Sporting Lagos ya Nigeria, Jonathan Alukwu kufuatia maagizo ya kocha mkuu wa timu hiyo, Abdelhak Benchikha katika usajili wa dirisha dogo. Taarifa za uhakika zilizotufikia Championi Ijumaa kutoka ndani ya klabu hiyo zinasema kuwa klabu hizo mbili zimeanza mazungumzo hayo na nyota huyo…

Read More

AZAM FC WANABALAA HAO

KASI ya Azam FC kwenye kukomba pointi tatu ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 weka mbali na watoto kutokana na kuendeleza ushindi kila wanaposhuka uwanjani. Ikumbukwe kwamba baada ya kucheza mechi 13 ni mechi mbili pekee ilipoteza ilikuwa dhidi ya Yanga Uwanja wa Mkapa na dhidi ya Namungo, Uwanja wa Mkapa na ilipata…

Read More