>

JKT TANZANIA SIO KINYONGE KUFANYA KWELI

BENCHI la ufundi la JKT Tanzania limeweka wazi kuwa palipo na mapungufu watafanyia maboresho kwenye usajili katika dirisha dogo ili kuwa imara zaidi. Desemba 18 ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma JKT Tanzania 0-1 Coastal Union walipoyeyusha pointi tatu wakiwa nyumbani. Kocha Mkuu wa JKT Tanzania, Malale Hamsini amesema kuwa ushindani kwenye ligi ni…

Read More

HAKUNA MBABE, UFUNGUZI WA AMAAN COMPLEX WAFANA

RASMI Uwanja wa Amaan Complex umefanyika baada ya maboresho makubwa yaliyofanywa katika kuboresha uwanja huo ambao kwa sasa unaingia kwenye hadhi nyingine. Kwenye uzinduzi huo ambao ulikuwa ni wa kihistoria wengi walihudhuria kushuhudia na wengine kutazama mubashara kupitia Azam TV. Burudani mbalimbali zilifanyika ikiwa ni pamoja na mchezo maalumu wa ufunguzi wa Uwanja wa Amaan…

Read More