CHAMA MAMBO BADO MAGUMU KWAKE

MWAMBA wa Lusaka, Clatous Chama mkali wa pasi za mwisho mambo bado ni magumu kwakwe kwa kushindwa kufurukuta kwenye mechi za hivi karibuni. Ikumbukwe kwamba Oktoba 5 2023 ilikuwa ni mara ya mwisho kwa staa huyo wa Simba raia wa Zambia kufunga ndani ya ligi kwa msimu wa 2023/24. Alifunga bao hilo kwenye mchezo wa…

Read More

KAZI KUBWA IFANYIKE KWA KILA MMOJA

KAZI kubwa inafanyika kwa kila mmoja kuendelea na mapambano kusaka ushindi ndani ya uwanja. Muda ni sasa kuonyesha kwamba inawezekana kupata matokeo ugenini. Benchi la ufundi tunaamini kwamba walipata muda wa kutosha kuzungumza na wachezaji. Sio kuzungumza pekee maneno ya kirafiki bali maneno ya kazi kuendelea kwa kila mmoja kutimiza majukumu yake. Ukweli ni kwamba…

Read More

ISHU YA KOCHA WA VIUNGO SIMBA BOSI AFUNGUKA

WAKATI tetesi zikieleza kuwa jina la Adel Zraine aliyewahi kuwa kocha wa viungo wa Simba lipo mezani, bosi ndani ya timu hiyo kafunguka kuhusu kurejea kwake kuanza kazoo majukumu mapya. Ikumbukwe kwamba nafasi ya kocha wa viungo ipo wazi baada ya aliyeanza na timu msimu wa 2023/23 Corneille Hategekimana aliyesitishiwa mkataba wake Novemba 7. Mbali…

Read More

TAIFA STARS KAMILI KUWAKABILI NIGER

LEO Novemba 18 2023 timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars itakuwa na mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Niger. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa jijini Marrakech, Morocco ambapo wachezaji wa Stars Novemba 17 walifanya mazoezi katika mji huo Uwanja wa Marrakech Annex One. Adel Amrouche Kocha Mkuu wa Stars amesema wapo tayari…

Read More

AUCHO YAMEMKUTA HUKO

TIMU ya taifa ya Uganda kwenye mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 imeanza kwa kupoteza mchezo wa kwanza wa kundi G dhidi ya Guinea kwa mabao 2-1. Kiongozi wao ni nahodha Khalid Aucho anayeikipiga ndani ya kikosi cha Yanga, Uganda iliokota bao la dakika za jioni likifungwa na Seydouba Cisse katika dakika za nyongeza…

Read More