YANGA WAKOMBA POINTI ZA SINGIDA FOUNTAIN GATE

YANGA imekomba pointi tatu mazima mbele ya Singida Fountain Gate kwenye mchezo wa ligi uliokuwa na ushindani mkubwa hasa kipindi cha pili. Ni mchezo wa ligi ikiwa ni mzunguko wa 7 kwa msimu wa 2023/24. Chuma cha kwanza ilikuwa dakika ya 30 na kile cha pili dakika ya 38 yalidumu mpaka mwisho wa mchezo huo….

Read More

JESHI LA YANGA HILI HAPA DHIDI YA SINGIDA FOUNTAIN GATE

MBELE ya Singida Fountain Gate  kikosi cha Yanga chini ya Miguel Gamondi langoni ameanza Dijgui Diarra, Mabeki ni Yao, Lomalisa, Mwamnyeto huyu ni nahodha, Job Viungo ni Zawad Mauya, Maxi Nzengeli, Mudhathir Yahya, Aziz Ki na Zouzoua, Mshambuliaji ni Konkoni Akiba yupo Mshery, Kibabage, Bacca, Mkude, Sure Boy, Moloko, Makudubela, Musonda na Mzize

Read More

UNA HELA? WIKIENDI IPO BIZE KINOMANOMA

UKIWA unajua wapi unakwenda ni rahisi kufika hata ukikutana na vikwazo vingi, lakini swali la msingi kujiuliza una hela? Ijumaa ipo bize utatokaje sasa nje ama ndani? Kwenye ulimwengu wa mpira, kuna mechi kali zinatarajiwa kuchezwa leo katika msako wa pointi tatu muhimu. Hapa tunakuletea namna msako wao utakavyokuwa:- Yanga v Singida Fountain Gate Ngoma…

Read More

KIVUMBI TUPU TATU BORA UFUNGAJI

KIVUMBI tupu ndani ya tatu bora ya ufungaji kutokana na mastaa waliopo hapo kuwa na rekodi zao zinazovutia namna wanavyofunga na kukamilisha majukumu yao. Ni Aziz KI wa Yanga huyu ni namba moja kwenye utupiaji akiwa na mabao sita, Jean Baleke yupo zake ndani ya Simba mabao matano na Feisal Salum, (Fei Toto) yupo Azam…

Read More

PAN AFICAN KAZINI KWA MARA NYINGINE TENA

KIVUMBI cha Championship kinatarajiwa kuendelea kwa wakongwe kazini Pan African watakapowakaribisha FGA Talents. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Uhuru, Oktoba 28 kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Nyasi za Uwanja wa Uhuru zitakuwa kwenye kazi saa 10:00 jioni kwa wanaume hao 22 uwanjani kusaka ushindi kwa jasho. Mchezo wao uliopita ilikuwa ni Oktoba 21…

Read More

YANGA: TULETEENI HAO AL AHLY TUWAONESHE

UONGOZI wa Yanga, umesema kuwa, umetumia mchezo wa Simba kuwasoma wapinzani wao, Al Ahly ambao watakutana katika michezo ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu. Yanga na Al Ahly wapo Kundi D katika Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu sambamba na timu za CR Beluoizdad ya Algeria na Madeama kutoka Ghana. Katika michezo miwili ambayo…

Read More