KAGERA YAIPIGIA HESABU KALI DODOMA JIJI

UONGOZI wa Kagera Sugar umeweka wazi kuwa upo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi kuu Bara unatarajiwa kupigwa  Oktoba 25, kwenye Dimba la Jamhuri mjini Dodoma. Ofisa Habari wa Kagera Sugar, Hamisi Mazanzala aliliambia Championi  Jumatano kuwa, maandalizi yapo sawa kwa ajili ya mchezo huo. “Maandalizi yapo sawa na wachezaji wapo tayari kupambana…

Read More

SIMBA NDANI YA DAR WAKITOKA KUPAMBANA NA WAARABU

MSAFARA wa Simba uliokuwa na jumla ya wachezaji 24 umewasili salama Dar ukitokea Misri ulipokuwa kwa ajili ya mchezo wa African Football League. Ni mapambano ya dakika 90 dhidi ya Waarabu wa Misri ilikuwa kwenye mchezo wa kuamua nani atakayetinga hatua ya nusu fainali kimataifa. Oktoba 24, ubao ulisoma Al Ahly 1-1 Simba. Kwenye hatua…

Read More

KASINO MITANDAONI NDIO HABARI YA MJINI KWASASA

Kama ulikua hujui sasa hivi watu wanajipigia tu mikwanja kupitia Kasino Mitandaoni ikiambatana na michezo kabambe kama Roullete, Piggy, Pinata Loca, Lakini kwasasa kuna mchezo unaobamba unajulikana kama Starlight Princess. Meridianbet wamekuja na Promosheni ambayo itajumuisha mchezo wa Starlight Princess ambayo imeanza tarehe 19 mwezi huku Oktoba na kumalizika mwezi huu tarehe 31 ambapo mshindi…

Read More

AZIZ KI KIBAO KIMEGEUKA

MTAALAMU wa mapigo huru ndani ya Yanga, Aziz KI amekuja na mtindo mpya kwa msimu wa 2023/24 kwa kuwavuruga makipa waliokariri ubora wake wa kutumia mguu wa kushoto kufunga. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2022/23 Aziz KI alitupia mabao 9 na alitengeneza pasi tano za mabao kwenye mechi za ligi. Mabao yote na pasi hizo alizotoa katika mechi 24 alizocheza akikomba dakika…

Read More

GAMONDI AZIPIGIA HESABU KALI POINTI ZA SIMBA

KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi raia wa Argentina, amefichua kwamba, ana kazi kubwa mbele ya kuhakikisha anapata matokeo mazuri katika michezo yake mitatu ijayo ikiwemo dhidi ya Simba kabla ya kugeukia michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa lengo la kupunguza presha ya kupambania ubingwa wa Ligi Kuu Bara. Gamondi ametoa kauli ikiwa Yanga…

Read More

YAO AONGEZEWA MAUFUNDI YANGA

BEKI wa pembeni tegemeo wa Yanga, Muivory Coast, Yao Kouassi ameandaliwa kwa kupewa mbinu za kufunga kila anapofika ndani na nje 18 ya goli la wapinzani. Yao amekuwa tegemeo kubwa katika kikosi cha Yanga katika kuanzisha mashambulizi huku akikaba katika goli lake. Nyota huyo hadi hivi sasa amefunga amepiga asisti tatu huku akifunga bao moja…

Read More