HASSAN MWAKINYO AKUTANA NA RUNGU ZITO

ADHABU ya kifungo cha mwaka mmoja ipo juu ya Hassan Mwakinyo, ambaye  amefungiwa kupanda ulingoni kwa muda huo. Mbali na kifungo hicho anapaswa kulipa faini ya shilingi milioni moja, kwa kosa la kugoma kupanda ulingoni katika Usiku wa Viwango, Septemba 29 2023. Uamuzi huo umefanywa na Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa nchini (TPBRC) kupitia kamati…

Read More

HUU HAPA MTAMBO WA MABAO NDAI YA AZAM FC

KIUNGO mwenye kazi kubwa ndani ya Azam C kutengeneza mipango ya kusaka pointi tatu anaitwa Feisal Salum, Fei Toto. Ni mtambo wa mabao ndani ya kikosi hicho tupo naye kwenye mwendo wa data namna hii:- Mabao yake Mabao matatu dhidi ya Tabora United mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex Katika mchezo huo Fei Toto alipachika…

Read More

NYOTA HAWA WATATU SIMBA KWENYE VITA YAO

WACHEZAJI watatu wanawania tuzo ya mchezaji bora ndani ya kikosi cha Simba kwa Septemba, 2023 ikiwa ni  vita yao nyingine kumpata mbabe wao. Ndani ya Septemba timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira ilifungua pazia la ligi kwa kupata pointi tatu muhimu. Ilikuwa ni kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Manungu, Morogoro na ubao ukasoma…

Read More