PIRA PAPATUPATU LAKOMBA POINTI UGENINI

KUTOKANA na mashabiki wa Simba kueleza kuwa mpira unaochezwa kwa sasa chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira ni mwendo wa papatupapatu, hivyo zimejibu na kupata ushindi ugenini. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Liti umesoma Singida Fountain Gate 1-2 Simba. Bao la Saido Ntibanzokoza dakika ya 26 lilikuwa la mipango na bao la…

Read More

MKWANJA WA MAMA MIKONONI MWA TIMU YA TAIFA

KATIBU Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Gerson Msigwa ameikabidhi timu ya Twiga Stars kitita cha Sh. Milioni 10 zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Samia Suluhu Hassan. Hiyo ni kufuatia ushindi waliopata dhidi ya timu ya Ivory Coast uliowawezesha kufuzu michuano ya WAFCON 2024. Akikabidhi fedha hizo, Katibu Mkuu Msigwa…

Read More

SINGIDA FOUNTAIN GATE 1-12SIMBA

UBAO wa Uwanja wa Liti umesoma Singida Fountain Gate 1-2 Simba ikiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara. Bao la uongozi kwa Simba limepachikwa na Saido Ntibanzokiza dakika ya 26 lililomshinda Beno Kakolanya. Ni pasi ya Kibu Dennis ambaye amekuwa kwenye dakika 45 bora za kipindi cha kwanza ugenini. Deus Kaseke ni yeye aliweka usawa…

Read More

SIMBA MIKONONI MWA SINGINDA FG NA MSAKO WA REKODI

KOCHA Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira amesema kuwa wanahitaji kuendelea na rekodi zao za kupata matokeo kwenye mechi za ligi ikiwa ni pamoja na mchezo dhidi ya Singida Fountain Gate. Leo Simba inatarajiwa kushuka kwenye msako wa pointi tatu dhidi ya Singida Fountain Gate kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Liti. Huu utakuwa ni mchezo…

Read More

YANGA: LIGI BADO MBICHI KABISA

UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa bado ligi ni mbichi wana muda wa kuendelea kupambana katika kutimiza malengo yao ya kutwaa ubingwa. Ikumbukwe kwamba Yanga ni mabingwa watetezi wa taji la ligi baada ya kutwaa msimu wa 2022/23. Ipo chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Gamondi baada ya kukiongoza kikosi hicho kwenye mechi tano ni shuhuda…

Read More