MTAMBO WA MABAO YANGA WATUMA SALAMU MSIMBAZI

MTAMBO wa mabao ndani ya kikosi cha Yanga, Maxi Nzengeli amesema kuwa wapo tayari kuelekea mchezo wao wa Karikoo Dabi dhidi ya Simba huku akiwaomba mashabiki wajitokeze kuona burudani. Ndani ya kikosi cha Yanga Nzengeli ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu Miguel Gamondi akiwa kakomba dakika 489. Katupia mabao matano na pasi moja ya…

Read More

KARIAKOO DABI IWE YENYE NIDHAMU NA UBORA

KARIAKOO Dabi ipo karibu ambapo kila timu kwa sasa inafanya maandalizi kupata matokeo mazuri. Kikubwa ambacho kinatakiwa ni umakini kwenye kila hatua. Maandalizi mazuri kwa kila timu kwa sasa ni jambo ambalo linahitajika ili kupata matokeo mazuri. Mashabiki wanapenda kuona timu yao inashinda hilo lipo wazi. Si wao tu hata wachezaji furaha yao ni kupata…

Read More

LUIS BADO ANAENDELEA KUJITAFUTA

TAYARI ameanza kurejea katika hesabu za rekodi lakini maamuzi bado anajitafuta kufikia ubora wake wa 2021 aliposepa ndani ya kikosi hicho na kujiunga na Al Ahly ya Misri. Kukaa muda mrefu bila kucheza ni sababu iliyofanya kiwango chake kikaporomoko kwa kasi. Yule Luis Miquissone mwenye kasi ya haraka na maamuzi akiwa nje ama ndani ya…

Read More

SIMBA: TUTADHIHIRISHA UKUBWA WETU MBELE YA YANGA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa utadhihirisha ukubwa wao kwa kupata ushindi kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Yanga unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Ni Kariakoo Dabi inayotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa ndani ya dakika 90 kwa timu zote kuwania kupata pointi tatu muhimu. Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally…

Read More

MUHIMU KUWA NA MAANDALIZI BORA KILA WAKATI

MWENDELZO mzuri unahitajika kwa wachezaji wote katika mechi ambazo wanacheza. Hali bado haijawa nzuri kwa baadhi ya wachezaji kufikiria mpira ni matumizi ya nguvu kubwa mwanzo mwisho. Ipo wazi kuwa mpira wa mchezo huwezi kuacha kutumia nguvu lakini ni muhimu kuwa makini. Kwenye msako wa pointi tatu ila ni muhimu kuwa makini katika kutimiza majukumu….

Read More

HAPA NDIPO TATIZO LA SIMBA LILIPO

NI umakini kwenye safu ya kiungo, ulinzi na mlinda mlango wa Simba hawa ni tatizo ndani ya mechi tano mfululizo ambapo iliruhusu jumla ya mabao sita huku ile ya ushambuliaji ikitupia mabao 9. Ndani ya dakika 450 ukuta wa Simba unatunguliwa bao moja kila baada ya dakika 75 huku safu ya ushambuliaji ikiwa na hatari…

Read More