SIMBA KUSEPA BONGO MAPEMA KUWAWAHI WAZAMBIA

KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamo ya Zambia uongozi wa Simba umeweka wazi kuwa utaondoka mapema kuwawahi wapinzani wao. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Septemba 16 ikiwa ni wa hatua ya pili Ligi ya Mabingwa Afrika. Timu ya Simba inapeperusha bendera kwenye anga la kimataifa sawa na Yanga katika Ligi…

Read More

YANGA WACHOREWA RAMANI YA USHINDI MBELE YA WAARABU

KIUNGO wa kimataifa wa Rwanda ambaye amewahi kukipiga ndani ya timu za Simba na Yanga, Haruna Niyonzima, amesema mbali na mapokezi makubwa ambayo kikosi cha Yanga itayapata itakapotua nchini Rwanda. Nyota huyo mwenye uwezo mkubwa kucheza eneo la kati pia anaamini timu  ya Yanga ina uwezo mkubwa wa kuifunga Al Merrikh. Septemba 16, mwaka huu,…

Read More