
MASTAA HAWA WAMPA JEURI GAMONDI
KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi raia wa Argentina anatajwa kuwa kwenye furaha kuwaona makipa watatu wakiwa kwenye uimara mazoezini. Yanga ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara kwenye upande wa makipa wapo watatu ikiwa ni Djigui Diarra raia wa Mali huyu ni kipa namba moja. Djigui ana tuzo ya kipa bora na yupo…