>

GAMONDI ATUMA UJUMBE HUU JKT TANZANIA

LICHA ya kwamba mchezo wa mwisho kabla ya JKT Tanzania kushuka daraja na Yanga kukomba pointi tatu bado mabingwa hao watetezi wameweka wazi kuwa wanawaheshimu wapinzani hao. Kwenye mchezo wa mwisho kukutana na Yanga ubao ulisoma JKT Tanzania 0-2 Yanga na mabao yalifungwa na Yacouba Songne na Tuisila Kisinda. Kesho Agosti 29 Yanga wanatarajiwa kumenyana…

Read More

PETER BANDA AKUTANA NA THANK YOU SIMBA

KIUGO Peter Banda hatakuwa ndani ya kikosi cha Simba msimu wa 2023/24. Usajili wa nyota huyo ulileta mtikisiko ambapo alikuwa anatajwa kupokwa airport na watani zao wa jadi Yanga jambo ambalo lilizua gumzo. Mwisho Simba walimtambulisha ndani ya kikosi hicho na kuzima kele za watani wao wa jadi Yanga kushinda vita ya kuinasa saini ya…

Read More

CHUMA KIPYA SIMBA KINA BALAA HICHO

CHUMA kipya ndani ya kikosi cha Simba ni kiraka kutokana na kupanda na kushuka kwenye kutimiza majukumu yake ndani ya uwanja. Nyota huyo anatambua kwamba msimu wa 2022/23 ni Yanga walitwaa taji la Ligi Kuu Bara huku Simba wakigotea nafasi ya pili. Ikumbukwe kwamba Julai 9, Che Malone Fondoh ambaye ni beki raia wa Cameroon…

Read More

KIMATAIFA FANYENI KWELI KAZI BADO IPO

KUPEWA majukumu katika timu Bongo kwa wachezaji ni jambo muhimu kuzingatia na kila mmoja kufanya kwa wakati kile kinachotakiwa ndani ya uwanja. Kwenye mechi za kimataifa hapo nguvu kubwa zinahitajika mbali na uwekezaji na wachezaji nao wanapaswa kujituma bila kuogopa. Tumeshuhudia namna Singida Fountain Gate walivyopenya hatua inayofuata kwenye Kombe la Shirikisho kwa kupata upinzani…

Read More