DILI LA CAICEDO LINAKWENDA KUANDIKA REKODI MATATA

IKIWA dili lake litakamilika rekodi mpya inakwenda kuandikwa Uingereza kwa gharama ambazo zitatumika kuipata saini ya Moises Caicedo kutoka Brighton kwenda Chelsea. Imeelezwa kuwa kuna nyongeza katika mkataba imeongezwa na kufikia dili lenye thamani ya pauni milioni 115 na Chelsea wamekubali ada ya rekodi ya Uingereza ya pauni milioni 115 na Brighton kwa ajili ya…

Read More

HIVI NDIVYO AZAM FC WALIVYOWATULIZA SINGIDA FOUNTAIN GATE

AZAM FC ni washindi wa tatu katika Ngao ya Jamii 2023 baada ya kupata ushindi wa mabao 2-0 Singida Fountain Gate katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Singida Fountain Gate walikosa utulivu katika kipindi cha kwanza eneo la ulinzi jambo lililowafanya Azam FC kuwatuliza kwa bao la mapema zaidi. Ni Prince Dube alianza kumtungua…

Read More

KIVUMBI CHA LIGI KINAREJEA UPYA

BAADA ya kungoja kwa muda hatimaye kesho ukurasa mpya wa msimu wa 2023/24 unafunguliwa kwa mechi za moto mkali ambazo zitakuwa ni tatu kwa kuchezwa viwanja tofauti. Ikumbumbukwe kwamba mabingwa watetezi wa taji la ligi ni Yanga ambao walikuwa na kibarua cha kutetea Ngao ya Jamii. Yanga ni mashuhuda Agosti 13 Ngao ya Jamii ikielekea…

Read More

SIMBA WAMESHINDA DHIDI YA TIMU ILIYOONYESHA UBORA

USHINDI wa Ngao ya Jamii ambao wameupata Simba dhidi ya Yanga ni bahati ya mtende kutokana na kiwango cha chini kilichoonyeshwa na wachezaji wa Simba. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga ulikuwa unasoma Yanga 0-0 Simba na kupelekea mshindi apatikane kwa penalti. Katika Ngao ya Jamii kwenye mchezo wa fainali Agosti…

Read More